Kundemba, Vuga ngoma droo Masauni & Seif Cup
TIMU za Kundemba na Vuga zimeanza kwa suluhu katika mechi ya uzinduzi wa michuano maalumu ya Masauni & Seif Cup iliyoanza juzi kwenye Uwanja wa Mnazi Mmoja, mjini Unguja, ikishirikisha jumla ya timu 20, huku Serikali ikiahidi kuwekeza zaidi michezoni. Klabu nyingine zinazoshiriki michuano hiyo kwa msimu huu ni; KISC FC, Ujamaa, Urusi, Misyuu, Aston…