Mayele afufuka baada ya siku 122

MSHAMBULIAJI wa Pyramids FC na timu ya taifa ya DR Congo, Fiston Mayele amemaliza ukame wa siku 122 baada ya juzi kufunga bao la Ligi Kuu ya Misri katika mechi ya ushindi wa mabao 3-1 wa timu hiyo dhidi ya Ghazl El Mahallah. Mara ya mwisho kwa nyota huyo wa zamani wa Yanga kufunga katika…

Read More

Biashara mtandao kurasmishwa Zanzibar | Mwananchi

Unguja. Serikali imesema inatambua umuhimu wa ukuaji wa biashara mtandaoni kama chachu ya maendeleo ya uchumi, upanuzi wa masoko na uongezaji wa ajira. Imesema kwa ufahamu huo, ndiyo sababu imechukua hatua za kimkakati kuhakikisha biashara hizo zinatambulika rasmi na kupewa mazingira bora ya kustawi. Miongoni mwa hatua zilizochukuliwa ni kutungwa kwa Sera ya Biashara ya…

Read More

Prisons yaachana na Otieno, Nsajigwa atajwa kumrithi

BAADA ya Tanzania Prisons kufikia makubaliano ya pande mbili kuachana na Kocha Zedeckia Evans Otieno, inaelezwa iko katika hatua nzuri ya mikoba yake kumkabidhi Shadrack Nsajigwa ‘Fuso’ kutoka kwa maafande wa Transit Camp. Taarifa ya Tanzania Prisons kuachana na Otieno iliyotolewa leo Februari 25, 2026 na Afisa Mtendaji Mkuu wa klabu hiyo, ‎Godfrey Madegwa, imesema:…

Read More