WAZIRI MKUU AAGIZA WAKANDARASI KULIPA WAFANYAKAZI KABLA HAWAJACHUKULIWA HATUA

  Na, Seif Mangwangi, Michuzi TV, Arusha Waziri mkuu  Dkt.Mwigulu Nchemba amewataka wakandarasi wanaojenga miradi mbalimbali nchini kulipa stahiki za wafanyakazi wao kama walivyokubaliana kabla hatua za kisheria hazijachukuliwa dhidi yao. Akizungumza katika mkutano wa hadhara uliofanyika katika eneo linalojengwa soko la kisasa la  kilombero baada ya kutembelea mradi wa ujenzi wa stendi na soko…

Read More

MIAMBA YATEMBELEA MWAMBA WA NGORONGORO.

Ikiwa ni majira ya Masika na kiubaridi, Bustani ya Eden ya Ngorongoro ikizungukwa na kingo zenye urefu wa Mita 610  huku wanyama na ndege wakichagiza kwa sauti murua zinazoashiria kuwa Ngorongoro ni mwamba wa miamba usiotikisika  na kusheheni msingi imara wa vivutio vya asili, urithi wa utamanuni na maajabu saba katika eneo moja. Miamba inayounda…

Read More

Sura tatu ziara ya Kihongosi Tabora, Kigoma

Ziara ya siku saba ya Katibu wa Itikadi, Uenezi na Mafunzo wa Chama cha Mapinduzi (CCM), Kenani Kihongosi, katika mikoa ya Tabora na Kigoma, imeibua matumaini kwa wananchi, lakini baadhi ya watendaji wa Serikali walijikuta kwenye wakati mgumu mbele ya kiongozi huyo. Ugumu huo ulitokana namna ya Kihongosi alivyokuwa akiwabana akiwataka kutoa maelezo ya kina…

Read More

Utawala Usio na Chochote Kilichoachwa ila Nguvu – Masuala ya Ulimwenguni

Credit: Georgios Kostomitsopoulos/NurPhoto kupitia Getty Images Maoni na Inés M. Pousadela (montevideo, urugwai) Jumanne, Februari 24, 2026 Inter Press Service MONTEVIDEO, Uruguay, Februari 24 (IPS) – Jamhuri ya Kiislamu ya Iran imesitisha uasi mwingine, na ukatili ambao unafanya ukandamizaji wa awali kuonekana kuzuiwa. Utawala wa kitheokrasi umeokoka, lakini umefanya hivyo kwa kuweka ghasia badala ya…

Read More

Stone Mosabu feat G Nako – Kuku (Official Music Video)

Global Publishers February 25, 2026 0 Comments Stone Mosabu ameshirikiana na G Nako kuleta wimbo mpya wa muziki wa Kiswahili unaoitwa “Kuku”, na tayari umekuwa gumzo kwa mashabiki wa muziki nchini. Wimbo huu unachanganya beat kali, vibes za kipekee, na maneno yanayofaa kwa kuamsha hamasa katika kila party au sherehe. “Kuku” ni ushuhuda wa ushirikiano…

Read More

Mtoto wa Mjini – 6

HUKU akiendelea kuwatazama kwa zamu vijana wale kutaka kuwakumbuka kama aliwahi kuwaona mahali, mzee Mangushi alijibu: “Marhaba…”Na baada ya kutambua sura zao zilikuwa ngeni machoni pake, akawauliza: “Niwasaidie nini?” “Kuna shida kidogo mzee wangu,” alisema mmoja wao na kumfanya mzee Mangushi kuutoa mwili wake wote nje ya mlango.“Shida gani tena?” alihoji uso wake ukitaliwa na wasiwasi.“Mimi…

Read More