BONDIA NAMBA MOJA TANZANIA IBRAHIM CLASS AIANDIKIA BARUA WBC KUPINGA DHULUMA ALIYOFANYIWA THAILAND

::::::   Bondia namba moja kutoka Tanzania katika uzani wa ‘Super feather’, Ibrahim Class amepinga matokeo ya pambano lake alilocheza jana Februari 28 mwaka huu nchini Thailand. Ibrahim Class alipigana na Mthailand Kritiphak Duangnut katika pambano la raundi 10 la kuwania mkanda wa WBC silver International ambapo majaji walitangaza matokeo ya sare. Baada ya matokeo…

Read More

WIZARA YA ARDHI YAZINDUA MPANGO MAALUM KUINUA WANA WANAWAKE KUNUFAIKA NA HATI, ELIMU NA UTATUZI WA MIGOGORO YA ARDH KUPITIA SAMIA ARDHI KLINIKII

  Na.Alex Sonna-Dodoma WIZARA ya Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi imeanzisha  kliniki maalum iitwayo Samia Ardhi Kliniki nchi nzima kwa lengo la kuongeza idadi ya wanawake wanaomiliki ardhi, ambapo kwa sasa ni asilimia 28 tu. Hatua hiyo inalenga kuunga mkono jitihada za Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan, katika kuhakikisha…

Read More

Shirika la uangalizi wa nyuklia linatoa wito wa kujizuia huku kukiwa na mgomo unaoendelea – Masuala ya Ulimwenguni

Akizungumza mjini Vienna, Mkurugenzi Mkuu wa Wakala wa Kimataifa wa Nishati ya Atomiki (IAEA), Rafael Grossi, alibainisha kuwa hakuna dalili kwamba mitambo ya nyuklia ya Iran, ikiwa ni pamoja na Kiwanda cha Nguvu za Nyuklia cha Bushehr, Kinu cha Utafiti cha Tehran na vifaa vingine vya mzunguko wa mafuta ya nyuklia vimeharibiwa. Wakati huo huo…

Read More

Kliniki ya ardhi kutatua changamoto za ardhi kwa wanawake

Dodoma. Serikali imeanzisha kliniki maalumu ya ardhi kwa lengo la kuwasaidia wanawake kutatua changamoto za umiliki wa ardhi, ikiwa ni sehemu ya maandalizi ya kilele cha Maadhimisho ya Siku ya Wanawake Duniani yanayotarajiwa kufanyika Machi 8 mwaka huu. Akizungumza leo Jumatatu Machi 2, 2026 jijini Dodoma, Katibu Mkuu wa Wizara ya Nyumba, Ardhi na Maendeleo…

Read More