TBA YASHIRIKI KLINIKI YA KUTATUA KERO ZA WANANCHI DODOMA

  Wakala wa Majengo Tanzania (TBA) Mkoa wa Dodoma unashiriki katika Kliniki maalum ya kutatua kero na changamoto mbalimbali za wananchi iliyoandaliwa na Ofisi ya Mkuu wa Mkoa wa Dodoma, inayofanyika tarehe 3 hadi 6 Machi, 2026 katika viwanja vya Nyerere Square jijini Dodoma. Kupitia kliniki hiyo, TBA inakutana na wateja wake ambao ni wapangaji…

Read More

ALHIKMA FOUNDATION YATANGAZA MASHARTI 10 YA NDOA 130

:::::::: Msharti 10 yaliyotangazwa na Taasisi ya Al-Hikma ili kutimiza kigezo cha kufanikisha mchakato huo.  Miongoni mwa masharti hayo yaliyotangazwa na mkurugenzi wa taasisi hiyo, Sheikh Nurdin Kishki ni pamoja na mwanamke ndio akachukue fomu ya mchakato huo, awe Mtanzania, muombaji asiwe na mume na huyo mtarajiwa wake asiwe na mke.  Mengine ni awe ameposwa…

Read More

Haki za wanawake zinadorora duniani kote, anaonya mkuu wa Umoja wa Mataifa wa usawa wa kijinsia – Global Issues

“Wakati ulimwengu unapitia kurudi nyuma kwa demokrasia, migogoro inayoongezeka, shinikizo la kiuchumi na kupungua kwa nafasi ya kiraia, kuna msukumo unaozidi kupangwa katika usawa wa kijinsia na kurudi nyuma kwa haki za wanawake,” Sarah Hendriks, UN Women Mkurugenzi, Idara ya Sera, Programu na Kiserikali aliwaambia waandishi wa habari katika mkutano huo mjini New York. “Mifumo…

Read More

TANZANIA YAENDELEA KUJITANGAZA KWENYE MAONESHO YA ITB BERLIN 2026

…….. Tanzania inaendelea kujitangaza kimataifa katika maonesho ya utalii ya ITB Berlin 2026, ambapo Makumbusho ya Taifa laTanzania (NMT) inashiriki kikamilifu katika kampeni ya “Tourism Beyond Safaris.” Katika maonesho hayo, NMT inatangaza vivutio vya utalii wa urithi wa historia na utamaduni kama vile Olduvai Gorge pamoja na magofu ya Kilwa Kisiwani na maeneo mengine ya…

Read More