WANAZUONI WAHIMIZA WISLAMU KUTOA ZAKA KUPAMBANA NA UMASIKI

                 :::::::::::: Mwenyekiti wa Umoja wa Wanazuoni wa Kiislamu, Sheikh Abdallah Swallehe Ndauga, amewahimiza Waislamu kutekeleza ipasavyo ibada ya Zaka ili kusaidia kupunguza umasikini katika jamii. Akizungumza katika kongamano la wanazuoni wa Kiislamu lililofanyika katika ukumbi wa Dar es Salaam Youth Centre (DYCC) jijini Dar es Salaam, Sheikh…

Read More

EWURA YASHIRIKI MAADHIMISHO YA SIKU YA WANAWAKE DUNIANI

  MWEYEKITI   wa Wanawake wa Chama cha Wafanyakazi wa Serikali Kuu na Afya Tanzania (TUGHE) Tawi la EWURA, Herieth Kasilima, akiwaongoza baadhi ya Wafanyakazi Wanawake wa EWURA  waliojitokeza katika maadhimisho ya  kilele cha Siku ya Wanawake Duniani yaliyofanyika   ngazi ya Mkoa wilayani Kongwa ,mkoani Dodoma leo Machi 8,2026 wakipita mbele ya mgeni rasmi wa maadhimisho…

Read More

WANAWAKE e-GA WATOA MSAADA KWA WATOTO WENYE MAHITAJI MAALUMU

Wanawake kutoka Mamlaka ya Serikali Mtandao (e-GA) Makao Makuu Dodoma wameungana na wanawake wengine Mkoani Dodoma kuadhimisha Siku ya Wanawake Duniani Machi 8, 2026, Jijini Dodoma  ‎ ‎Katika kuadhimisha siku  hiyo Wanawake hao wametoa msaada wa mahitaji mbalimbali katika Kituo cha Watoto Yatima cha Rahman kilichopo chang’ombe mkoani humo. ‎ Akizungumza mara baada ya kukabidhi…

Read More

Waziri Mkuu Atoa Onyo Kali kwa Wanaouza Mbegu Duni kwa Wakulima

Global Publishers March 8, 2026 0 Comments WAZIRI MKUU, Dkt. Mwigulu Nchemba amesema kuwa Serikali itachukua hatua kali ikiwemo kufilisiwa kwa yeyote anatakayebainika kuhujumu wakulima kwa kuwauzia pembejeo zisizokuwa na ubora zikiwemo mbegu. Ameyasema hayo leo Jumapili, Machi 08, 2026 alipozungumza na wananchi katika mkutano wa hadhara uliofanyika kwenye Uwanja wa Shule ya Msingi Laela…

Read More

Safari ya mjamzito aliyebebwa kwa machela kwenda kujifungua aeleza maumivu, ushujaa na furaha

Kilolo. Nadhani tunakumbuka picha ya mama mjamzito kutoka Kiwalamo, wilayani Kilolo, aliyebebwa kwa machela na wanakijiji akiwa katika uchungu wa kujifungua kutokana na barabara mbovu hadi Hospitali ya Dabaga kwenda kujifungua. Hii ni simulizi ya kishujaa ya Zaineth Kipingi, mama wa Moreen, aliyejifungua kwa mara ya kwanza Juni mwaka huu akibebwa kwenye machela kutoka Kiwalamo…

Read More

Unafahamu chimbuko la Siku ya Wanawake Duniani?

Dar es Salaam. Kila mwaka ifikapo Machi 8, dunia huadhimisha Siku ya Wanawake Duniani. Katika nchi nyingi siku hii huambatana na mikutano, maandamano, kampeni za kijamii na tafakuri kuhusu mchango wa wanawake katika maendeleo ya jamii pamoja na changamoto zinazowakabili. Hata hivyo, nyuma ya maadhimisho haya kuna historia ndefu ya mapambano ya kijamii na kisiasa…

Read More