Aliyeanza na mtaji wa elfu mbili, apewa Sh5 milioni, kiti mwendo
Sengerema. Baada ya dhiki, faraja. Ndivyo ilivyokuwa kwa mkazi wa Sengerema aliyepata ulemavu wa kudumu baada ya kudondokewa na kifusi mgodini, lakini akaanza kujiajiri kwa kushona viatu kwa mtaji wa Sh2,000. Mwananchi huyo alikuwa miongoni mwa walioudhuria mkutano wa hadhara wa Katibu wa Itikadi, Uenezi na Mafunzo wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Kenani Kihongosi uliofanyika…