Mfiduo dhidi ya Unyonyaji – Masuala ya Ulimwenguni

Credit: Umoja wa Mataifa Maoni na Bisma Qamar (new york) Jumatano, Machi 11, 2026 Inter Press Service NEW YORK, Machi 11 (IPS) – Mara nyingi nimeulizwa swali rahisi lakini muhimu: Je, tunawezaje kuifanya iwe endelevu ikiwa hatujafidiwa kwayo? Swali hilo linakaa katika kiini cha mazungumzo ambayo hatuzungumzi vya kutosha. Mahali fulani kati ya mfiduo na…

Read More

Shule ya Tanzania Yazindua Klabu ya Nishati Kukuza Upikaji Safi – Masuala ya Ulimwenguni

Naibu Waziri wa Nishati, Salome Makamba, akipika wakati wa uzinduzi wa mradi wa kusambaza nishati safi ya kupikia katika taasisi zinazohudumia zaidi ya watu 100 zikiwemo shule 52 za ​​sekondari. Credit: Kizito Makoye/IPS by Kizito Makoye (dodoma, tanzania) Jumatano, Machi 11, 2026 Inter Press Service DODOMA, Tanzania, Machi 11 (IPS) – Wingu la mvuke linapanda…

Read More

Yanga Yachanja Mbuga Ligi Kuu Licha ya Kutolewa CAF

Je unajua kuwa ni rahisi sana kwako wewe kusuka jamvi na Meridianbet endapo Mechi za Yanga zitakuwa zinachezwa?. ODDS KUBWA na machaguo zaidi ya 1000 yanakungoja sasa ingia na ubashiri hapa. Yanga wameendelea kuthibitisha kwa nini wanabaki kuwa moja ya timu kubwa zaidi katika soka la Tanzania. Wakiwa vinara wa Ligi Kuu Tanzania Bara baada…

Read More

WAZIRI MKUU AONGOZA KIKAO CHA KUJADILI MAPENDEKEZO YA YA KUFANYA MABORESHO YA SHERIA YA MAPATO YA BAADHI TA MIFUKO

Waziri Mkuu, Dkt. Mwigulu Nchemba leo Machi 11, 2026 ameongoza Kikao cha kujadili Mapendekezo ya kufanya Maboresho ya Sheria ya Mapato ya baadhi ya Mifuko kilichofanyika kwenye ukumbi wa Waziri Mkuu, Bungeni jijini Dodoma, Machi 11, 2026. Baadhi ya viongozi walioshiriki katika Kikao hicho ni pamoja na Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu, Sera,…

Read More

TPDC INAENDELEA NA UPANUZI WA GESI ASILIA KWA MATUMIZI YA VIWANDANI NA MAJUMBANI

Na Mwandishi wetu – Dodoma  Shirika la Maendeleo la Petroli Tanzania (TPDC) inaendelea kupanua miundombinu ya kusambaza gesi asilia kwa matumizi ya viwandani na majumbani katika Mikoa ya Dar es Salaam, Pwani, Lindi, Mtwara, na sasa mpango ni kufika Morogoro, Dodoma, Tanga, Kilimanjaro na Arusha. Hayo yamebainishwa na Mkurugenzi Mtendaji TPDC Mussa Makame akizungumza na…

Read More

GCLA IMEWAJENGEA UWEZO VIJANA 8,086 KATIKA UENDESHAJI SHUGHULI ZINAZOHUSU KEMIKALI

Na Mwandishi wetu- Dodoma Mamlaka ya Maabara ya Mkemia Mkuu wa Serikali (GCLA) imefanikiwa kuwajengea uwezo vijana 8,086 katika uendeshaji wa shughuli zinazohusisha kemikali, na kuwasaidia kulinda afya zao na mazingira, Mafunzo hayo yamewezesha vijana kupata fursa za biashara katika usafirishaji wa kemikali na kuanzisha viwanda vidogo vidogo vya uzalishaji wa bidhaa za kemikali. Dkt…

Read More