Nyaraka za FBI Zamtaja Trump Kwenye Tuhuma za Unyanyasaji wa Kingono
shemeliezer shem March 10, 2026 0 Comments Nyaraka mpya za FBI zilizotolewa na Wizara ya Sheria ya Marekani (DOJ) zimefichua mahojiano ya mwaka 2019 na mwanamke aliyedai kufanyiwa unyanyasaji wa kingono akiwa na umri wa kati ya miaka 13 hadi 15, akiwataja Donald Trump na mfanyabiashara marehemu Jeffrey Epstein. Hata hivyo, madai hayo hayajathibitishwa kwa…