UJENZI WA BARABARA YA KAHAMA – BULYANHULU JCT

Mchakato wa kumwaga lami katika barabara ya Kahama-Kakola inayojengwa kwa uwezeshaji wa kampuni ya Barrick nchini ukiendelea Mchakato wa kumwaga lami na kuisambaza ukiendelea Msimamizi wa Ujenzi wa barabara ya Kahama-Kakola kutoka Wakala wa Barabara nchini (TANROADS) Mhandisi Marco Bee, akiongea kuhusu maendeleo ya ujenzi huo unaotekelezwa kwa ufadhili wa kampuni ya Barrick nchini. Msimamizi…

Read More

Mtaalamu wa Lishe Afichua Matunda Yasilofaa Kula Asubuhi

Mtaalamu wa lishe, Nichola Ludlam-Raine, amefichua aina ya matunda ambayo hayapendekezwi kuliwa mara kwa mara wakati wa kifungua kinywa, akieleza kuwa baadhi ya matunda maarufu yana kiwango kikubwa cha sukari asilia kuliko watu wanavyofahamu. Akizungumza na The Telegraph, Ludlam-Raine alifanya tathmini ya matunda 18 yanayopendwa nchini Uingereza, akiyapima kulingana na virutubisho kama vitamini na madini,…

Read More