Mkurugenzi Mtendaji wa Airtel, Kamoto Afanya Ziara ya Mradi wa Ukarabati Shule ya Msingi Kiromo

MKURUGENZI Mtendaji wa Airtel Tanzania, Charles Kamoto, pamoja na viongozi wengine wa kampuni, hivi karibuni walifanya ziara katika Shule ya Msingi Kiromo ili kuangalia maendeleo ya mradi wa ukarabati unaofadhiliwa na Airtel Tanzania. Mradi huu unaonyesha dhamira ya Airtel katika kuboresha mazingira ya kujifunzia na kusaidia elimu katika jamii wanazofanyia kazi. Wakati wa ziara, timu…

Read More

Teknolojia ya tiba mwanga inayopambana na magonjwa sugu

Dar es Salaam. Tiba mpya inayotumia mwanga maalumu inayojulikana kama phototherapy imeanza kuibua matumaini mapya kwa wagonjwa wa magonjwa sugu, ikiwamo kisukari, shinikizo la damu na matatizo ya figo. Kwa mujibu wa wataalamu wa afya, phototherapy ni aina ya matibabu yanayotumia mawimbi maalumu ya mwanga kuchochea mwili kuanza mchakato wa kujirekebisha na kupona. Teknolojia hii…

Read More