Video: ‘House Girl’ Afikishwa Mahakamani Kwa Tuhuma Za Kujaribu Kuua Kichanga
Bakari Mahundu March 9, 2026 0 Comments Faima Yasin Twaibu (19) Dada wa Kazi Anayetuhumiwa Kutaka Kumuua Mtoto Wake Mchanga Jeshi la Polisi Mkoa wa Mwanza, Machi 9, 2026, limemfikisha katika Mahakama ya Wilaya ya Ilemela, Faima Yasin Twaibu (19), mkazi wa Bulyehele, kwa tuhuma za kujaribu kumuua mtoto mchanga. Mbele ya Hakimu Mkazi Mfawidhi,…