Video: Rais Samia Amzawadia Gari Mama Kanumba

Bakari Mahundu March 8, 2026 0 Comments Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan, amemzawadia gari aina ya Toyota Harrier mama wa marehemu Steven Kanumba, kama ishara ya kutambua mchango mkubwa wa mwanaye katika kukuza tasnia ya filamu nchini. Gari hilo limekabidhiwa kwa niaba ya Rais na Mkuu wa Mkoa wa Dar…

Read More

Wanaodaiwa kumteka Mtanzania Kenya wasota mahabusu siku 16

Dar/Nairobi. Mahakama nchini Kenya, kesho itatoa uamuzi wa iwapo raia wawili wa Kenya na Mtanzania wanaotuhumiwa kufanya jaribio la kumteka mwanaharakati wa Tanzania, Mshabaha Hamza, waachiwe kwa dhamana ama la. Katika jaribio hilo la utekaji ambalo lilishindikana, lililotokea Februari 22, 2026 huko Kaunti ya Machakos katika ardhi ya Kenya, watuhumiwa wanadaiwa kumchoma sindano mwanaharakati huyo…

Read More

Dk Tulia kujenga nyumba 13 kila kata

Mbeya. Kufuatia kuwepo kwa changamoto ya baadhi ya wazee kuishi mazingira magumu kwa kukosa makazi bora, mbunge wa Uyole Dk Tulia Ackson ameeleza mpango wake wa  kujenga nyumba 13 katika kila kata jimboni kwake ili kuwarejeshea tabasamu. Dk Tulia amesema hatua hiyo ni kuikumbusha jamii kuwa na utaratibu wa kusaidia makundi hayo na wasione jambo…

Read More

Rais Trump Ahudhuria Kuagwa kwa Wanajeshi 6 Waliouawa Mashariki ya Kati – (Picha +Video)

Global Publishers March 8, 2026 0 Comments Rais wa Marekani, Donald Trump, amehudhuria hafla maalum ya kuwaenzi wanajeshi sita wa Marekani waliopoteza maisha yao kufuatia shambulio lililohusishwa na Iran katika kambi ya kijeshi nchini Kuwait. Hafla hiyo iliwakutanisha viongozi wa juu wa kijeshi, familia za wanajeshi waliouawa pamoja na maafisa wa serikali ya Marekani, ambapo…

Read More

Piga Pesa Mechi Zote na Meridianbet Leo

Je unajua kuwa ukiwa na Meridianbet kwenye simu yako ni rahisi sana kutengeneza pesa?. Mechi kibao zipo kuhakikisha huondoki patupu hapa suka jamvi lako sasa na uanze kubashiri hapa. LIGUE 1 kule Ufaransa itaendelea Lens atamenyana dhidi ya Metz ambao wapo nafasi ya mwisho kwenye msimamo wa ligi. Mwenyeji anahitaji ushindi siku ya leo baada…

Read More

Kizimbani kwa kujifnya mtumishi wa HESLB

Kigoma. Mkazi wa jijini Mbeya Nickolaus Komba (30), amefikishwa katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kigoma, akikabiliwa na makosa manne, likiwamo la kujifanya Ofisa wa Bodi ya Mikopo ya Elimu ya Juu (HESLB) na kuwatapeli watumishi wa Halmashauri ya Wilaya ya Kakonko. Mtuhumiwa huyo alifikishwa mahakamani hapo kwa mara ya kwanza Machi 6, 2026 mbele ya…

Read More

KCMC kuanza kutoa matibabu ya moyo rasmi 2027

Moshi. Wakati tafiti zikionesha asilimia 30 ya watu wanaougua matatizo ya moyo wanatoka Kanda ya Kaskazini, Hospitali ya KCMC, mkoani Kilimanjaro imepanga kutumia Sh25 bilioni kujenga kitengo cha matibabu ya moyo katika hospitali hiyo, kitachokuwa taasisi ya pili kwa ukubwa nchini. Ujenzi wa kitengo hicho unalenga kuboresha huduma za matibabu ya magonjwa ya moyo katika…

Read More

Biashara ndogondogo zilivyobeba matumaini ya wanawake

Dar es Salaam. Leo dunia inaadhimisha Siku ya Kimataifa ya Wanawake, tukio linalotolewa heshima kwa wanawake kwa mchango wao katika familia, jamii na Taifa kwa jumla. Hii ni fursa ya kuangalia jinsi wanawake wa mijini Tanzania wanavyobadilisha maisha yao, wakipambana na changamoto za kila siku huku wakiimarisha kipato na nafasi yao kiuchumi. Katika mitaa ya…

Read More