Wataalamu walaani kuwanyima watoto haki za msingi

Tanga. Wataalamu wa malezi na makuzi ya watoto mkoani Tanga wametahadharisha kuwa kuwanyima watoto haki zao za msingi za kucheza, kupumzika na kukua katika mazingira salama na yenye afya kunahatarisha maendeleo yao ya kimwili na kiakili. Wataalamu hao wanasema vitendo hivyo vinaweza kuathiri si tu ukuaji wa kimwili wa watoto, bali pia maendeleo yao ya…

Read More

WAZIRI MKUU AKAGUA UKARABATI WA UWANJA WA NDEGE WA SUMBAWANGA

WAZIRI MKUU, Dkt. Mwigulu Nchemba leo Machi 08, 2026 amekagua maendeleo ya ukarabati na uboreshaji wa Uwanja wa Ndege wa Sumbawanga uliopo mkoani Rukwa. Mradi huo ulianza kutekelezwa katika mwaka wa fedha 2023/2024 kwa gharama ya shilingi bilioni 60.1 na hadi sasa umefikia asilimia 96 ya utekelezaji. Akizungumza wakati wa ukaguzi huo, Dkt. Mwigulu amewapongeza…

Read More

Sintofahamu CUF, mwenyekiti mpya akosa mapokezi Kondoa

Dar es Salaam. Makundi yanayoendelea kukigawa Chama cha Wananchi (CUF) yameibuka tena, baada ya mwenyekiti mpya wa chama hicho, Mirambo Yusuf, kukosa mapokezi alipowasili Wilaya ya Kondoa mkoani Dodoma katika ziara yake ya kujitambulisha kwa wanachama na viongozi wa chama. Mbali na hali hiyo, alishindwa pia kufanya kikao cha ndani cha kamati ya wilaya baada…

Read More

Hatari wenza kutumiana picha za faragha

Dar es Salaam. Picha iliyotumwa kwa kuaminiwa kama ishara ya upendo, huenda ikageuka silaha ya fedheha, vitisho, visasi na kusababisha maumivu ya kudumu. Katika zama hizi za teknolojia, simu janja na mitandao ya kijamii imekuwa chombo cha kuwasiliana lakini pia imeibua tishio jipya la kisaikolojia na kijamii kusambazwa bila ridhaa kwa picha na video za…

Read More

Talaka yenu inawafunza nini watoto wenu?

Canada. Inakuwaje mtu anakuwa kiongozi mashuhuri, msomi aliyebobea au tajiri wa kutajwa, lakini anashindwa kuhimili ndoa yake?  Je, ni suala la majaliwa, mipango mibovu au ukweli mchungu kwamba binadamu hawezi kuwa na kila kitu kwa wakati mmoja?  Maswali haya yameendelea kuibuka kila tunaposikia habari za talaka katika familia zetu, hasa pale wahusika wanapokuwa watu wa…

Read More

Furahia ndoa duniani kabla ya mbinguni

Dar es Salaam. Katika jamii nyingi, ndoa imekuwa ikizungumziwa zaidi kama jukumu kuliko baraka, kama mzigo kuliko safari ya furaha. Watu wengi huingia kwenye ndoa wakiwa na matarajio ya kiroho zaidi ya kibinadamu. Wengi husema: “tutavumilia kwa ajili ya mbinguni, huku duniani ni mateso tu,” au “furaha ya kweli ipo baada ya maisha haya.” Mtazamo…

Read More

PROF. KABUDI AWAHIMIZA DIASPORA KUWEKEZA NCHINI TANZANIA

::::::: Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais (Kazi Maalum), Prof. Palamagamba Kabudi, amewahimiza Watanzania wanaoishi nje ya nchi (Diaspora) kuendelea kuwekeza nchini na kushiriki kikamilifu katika juhudi za maendeleo ya taifa.  Amesema Watanzania walioko ughaibuni wana nafasi kubwa ya kuchangia ukuaji wa uchumi wa nchi kupitia mitaji, utaalamu na uzoefu walioupata nje ya nchi. Prof….

Read More

Jua tofauti za mitazamo kati ya wanawake na wanaume

Dar es Salaam. Kwa muda mrefu, wanaume na wanawake wamekuwa na mitazamo tofauti kuhusu namna wenzao wanavyofikiri, kuhisi na kutenda. Mitazamo hii mara nyingi imejenga vichekesho, mshangao, migogoro na wakati mwingine kutoelewana katika uhusiano. Wanawake, kwa upande wao, wamekuwa wakieleza kuwa wanaume hawawezi kuzieleza hisia zao vya kutosha. Kwao, mwanaume huonekana kufunga milango ya moyo…

Read More

Mzazi tambua mipaka ya kusaka maisha, malezi ya watoto

Dar es Salaam. Katika ulimwengu wa leo, wazazi wengi wanajikuta wakiwa katika mbio zisizokwisha za kutafuta maisha bora. Gharama za elimu, matibabu, makazi na mahitaji mengine ya msingi zimeongezeka. Hivyo, hali hiyo huwalazimu wazazi wengi kutumia muda mwingi kazini au katika shughuli za kujiongezea kipato. Hata hivyo, swali la msingi linalopaswa kujiuliza ni hili: Je,…

Read More