Anapenda sana ‘mchezo’ nahisi kuishiwa nguvu

Anti siyo kama ninajihami ila naona kabisa ubavu wangu ni mdogo kumtosheleza huyu nimpendaye. Kwanza kila akikaa anasema anapenda mwanaume mwenye maumbile makubwa, nikitazama yangu nakataa tamaa kabisa. Pia anapenda sana mambo hayo, nisipojizungusha kutwa moja anaweza kuhitaji hiyo huduma zaidi ya mara tano. Mwanzoni nilijua ni ugeni, lakini tuna mwaka sasa kazi ni hiyo…

Read More

Rais Samia atoa ujumbe wa siku ya wanawake duniani

Dar es Salaam. Rais Samia Suluhu Hassan amehimiza kuendeleza juhudi za kuhakikisha wanawake na wasichana wanapata haki na usawa ili kuchochea maendeleo jumuishi ya Taifa. Rais Samia ametoa wito huo leo Machi 8, 2026 katika ujumbe wake kwa Taifa wa  maadhimisho ya Siku ya Wanawake Duniani, akieleza  siku hii ni muhimu kwa kutambua mchango mkubwa…

Read More

TANAPA SPORT AND HEALTH DAY

Na Pamela Mollel,Arusha. Shirika la Hifadhi za Taifa Tanzania (TANAPA) limefanya bonanza la michezo maalum lijulikanalo kama “TANAPA Sport and Health Day” leo tarehe 7 Machi, ikiwa ni sehemu ya maandalizi ya kuelekea maadhimisho ya Siku ya Wanawake Duniani yanayoadhimishwa kila mwaka tarehe 8 Machi. Lengo la bonanza hilo ni kuhamasisha mazoezi, kuimarisha afya na…

Read More

WANANCHI ZAIDI YA 13,000 WANUFAIKA NA SAMIA ARDHI KLINIKI NCHINI

Na Munir Shemweta, WANMM MTWARA Waziri wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi, Leonard Akwilapoamesema jumla ya wananchi 13,550 wamejitokeza kupata huduma mbalimbali za sekta ya ardhi kupitia Samia Ardhi Kliniki iliyofanyika katika mikoa yote 26 nchini. Dkt. Akwilapo amesema hayo wakati akifunga rasmi Samia Ardhi Kliniki katika viwanja vya Mashujaa mkoani Mtwara tarehe 7…

Read More

Rais Trump Ahudhuria Hafla ya Kuaga Wanajeshi 6 Waliouawa Mashariki ya Kati – (Picha +Video)

Global Publishers March 8, 2026 0 Comments Rais wa Marekani, Donald Trump, amehudhuria hafla maalum ya kuwaenzi wanajeshi sita wa Marekani waliopoteza maisha yao kufuatia shambulio lililohusishwa na Iran katika kambi ya kijeshi nchini Kuwait. Hafla hiyo iliwakutanisha viongozi wa juu wa kijeshi, familia za wanajeshi waliouawa pamoja na maafisa wa serikali ya Marekani, ambapo…

Read More