Milipuko Mikubwa Yatikisa Tehran Baada ya Israel Kushambulia Vituo vya Mafuta
Tehran, Iran – Mlipuko mkubwa na moto uliotanda angani uliripotiwa katika mji mkuu wa Iran, Tehran, baada ya Israel kufanya mashambulizi kadhaa yaliyolenga vituo muhimu vya kuhifadhi mafuta. Kwa mujibu wa jeshi la Israel (IDF), mashambulizi hayo yalilenga maeneo kadhaa ya kuhifadhi mafuta yanayodaiwa kutumiwa na vikosi vya kijeshi vya Iran kusambaza nishati kwa shughuli…