Muya ataka mechi za kirafiki Coastal

KOCHA wa Coastal Union Mohamed Muya ameweka wazi mkakati wake kuelekea kipindi hiki cha mapumziko, huku akisisitiza umuhimu wa kucheza mechi za kirafiki ili kujiweka sawa kabla ya kurejea kwenye ushindani. Akizungumza na Mwanaspoti alisema kuwa, mapumziko haya hayapaswi kuwa ya kupoteza muda, bali ni fursa ya kurekebisha makosa yaliyojitokeza katika michezo iliyopita na kuimarisha…

Read More

Huko Yanga kuna fukuta, kocha aitwa mezani

YANGA ilirejea nyumbani jana kwa mafungu ikitokea Mkoani Dodoma ilikokwenda kulazimishwa sare ya bao 1-1 dhidi ya Mtibwa Sugar kutengeneza sare nyingine ya tano msimu huu lakini matokeo hayo yameibua presha kubwa kwa kocha wa timu hiyo Pedro Goncalves. Presha kubwa ya Pedro ni kwamba Yanga ikiwa chini yake haijapoteza mchezo wowote lakini kwenye sare…

Read More

IPTL YAPATA USHINDI: MWENYEKITI ASAFISHWA NA POLISI

  JESHI la Polisi Tanzania limetoa cheti cha kumsafisha Mwenyekiti wa Kampuni ya Independent Power Tanzania Limited (IPTL), Harbinder Singh Sethi dhidi ya uhalifu katika kumbukumbu zao. Cheti cha Kibali cha Polisi chenye kumbukumbu namba FB/FP/G.4/2026/VOL.III/49198, kimetolewa na Ofisi ya  Uchunguzi wa alama za vidole na Jeshi la Polisi  jijini Dar es Salaam. Cheti hicho…

Read More

Meridian Bonanza Yaleta Nguvu Mpya ya Ushindi Meridianbet

Global Publishers March 22, 2026 0 Comments Soko la michezo ya kubashiri limepata burudani mpya inayotikisa anga la ushindi, Meridian Bonanza. Mchezo huu umeingia kwa kishindo ukiwaletea wabashiri msisimko, ubunifu na fursa kubwa za kushinda. Kwa yeyote anayependa kubashiri na ndoto ya kuona ushindi wa uhakika, Meridian Bonanza ni mchezo wa kucheza na kushuhudia ushindi…

Read More

Maelfu Washiriki Kilimanjaro Marathon Moshi, Yavunja Rekodi Licha ya Mvua

Licha ya mvua kubwa kunyesha katika Mkoa wa Kilimanjaro Region, maelfu ya washiriki na watazamaji walijitokeza kushiriki na kushuhudia toleo la 24 la Kilimanjaro International Marathon lililofanyika mjini Moshi Jumapili. Katika mbio za kilomita 42 kwa wanaume, mwanariadha kutoka Kenya, William Morwabe, aliibuka mshindi kwa muda wa saa 2:18:52, akionesha ubora mkubwa licha ya changamoto…

Read More