BALOZI CP KAGANDA AKUTANA NA BALOZI WA ETHIOPIA KUJADILI USHIRIKIANO KATI YA TANZANIA NA ETHIOPIA

Balozi wa Tanzania nchini Zimbabwe, Kamishna wa Polisi (CP) Mhe. Suzan Kaganda, amekutana na kufanya mazungumzo na Balozi wa Ethiopia nchini Zimbabwe, Mhe. Rashid Mohammed Abdulwahid, ambapo wamejadiliana masuala mbalimbali ya kuimarisha ushirikiano kati ya Tanzania na Ethiopia. Katika mazungumzo hayo, Balozi Kaganda aliishukuru Serikali ya Ethiopia kwa kuendelea kudumisha urafiki wa muda mrefu na…

Read More

Mahakama yawaachia huru washtakiwa vurugu Oktoba 29

Mwanza. Watu saba waliokuwa wakikabiliwa na kesi ya kufanya vurugu wakati wa Uchaguzi Mkuu Oktoba 29, 2025, wameachiwa huru na Mahakama ya Wilaya ya Magu, mkoani Mwanza, baada ya mahakama kutoridhika na ushahidi uliotolewa dhidi yao. Washtakiwa hao pia walikuwa wakikabiliwa na tuhuma za kuchoma majengo ya Serikali, likiwemo la Mahakama ya Mwanzo Kisesa na…

Read More

Serikali yatoa ahadi ulinzi wa bahari IORA ikiadhimisha miaka 29

Dodoma. Tanzania imesema ulinzi wa bahari na rasilimali zake utaendelea kupewa kipaumbele, hasa katika kipindi hiki ambacho Dunia inapitia changamoto ya mabadiliko ya tabianchi. Kauli hiyo imetolewa leo, Jumamosi, Machi 7, 2026, na Naibu Katibu Mkuu wa Ofisi ya Makamu wa Rais Muungano na Mazingira anayeshughulikia Mazingira, Balozi Baraka Luvanda, wakati wa maadhimisho ya Siku…

Read More

TBS yaanza ujenzi wa maabara Kanda ya Kaskazini

Arusha. Shirika la Viwango nchini (TBS) limeanza mchakato wa ujenzi wa maabara katika Kanda ya Kaskazini kwa ajili ya kupima ubora wa bidhaa itakayorahisisha utendaji kazi wa shirika hilo na kupunguza muda uliokuwa unatumika kupeleka sampuli za bidhaa jijini Dar es Salaam. Meneja wa TBS Kanda ya Kaskazini, Joseph Ismail amesema hayo jana Ijumaa, Machi…

Read More

Kipa Singida BS afutiwa tuhuma za upangaji matokeo

ZIKIWA zimepita siku mbili baada ya Singida Black Stars kumfutia adhabu kiungo Khalid Aucho ya kumsimamisha kwa miezi mitatu kutokana na utovu wa nidhamu na utoro kazini, pia imefanya hivyo kwa kipa Amas Obasogie aliyekuwa akituhumiwa na ishu ya upangaji matokeo. Hatua hiyo inakuja baada ya Februari 27, 2026, taarifa ya Singida Black Stars iliyotolewa…

Read More

Migogoro inayoenea ‘kama moto wa nyika’, mkuu wa haki za Umoja wa Mataifa anaonya – Masuala ya Ulimwenguni

UNHCR Moshi unafuka baada ya shambulizi la anga huko Beirut, Lebanon. Ijumaa, Machi 06, 2026 Habari za Umoja wa Mataifa Ghasia kote Mashariki ya Kati zinaendelea huku mashambulizi ya kijeshi na mashambulizi ya kukabiliana yakiripotiwa katika nchi kadhaa katika eneo hilo, na kuzua hofu ya kukosekana kwa utulivu na kuzorota kwa hali ya kibinadamu. Mashirika…

Read More