Serengeti kujengwa madaraja makubwa matano kudhibiti mafuriko
Serengeti. Serikali imepanga kujenga madaraja makubwa matano katika maeneo korofi ndani ya Hifadhi ya Taifa ya Serengeti, ikiwa ni hatua ya kudhibiti athari za mvua kubwa zinazoendelea kunyesha na kuharibu miundombinu ya barabara na vivuko. Mbali na madaraja hayo makubwa, pia yanatarajiwa kujengwa madaraja madogo matano katika maeneo mengine yenye changamoto, hatua inayolenga kupunguza usumbufu…