WAZIRI ULEGA: BARABARA YA TAMKO MAPINGA KUKAMILIKA

Na Khadija Kalili,Kibaha WAZIRI wa Wizara ya Ujenzi ambaye pia ni Mhe.Mbunge wa Jimbo la Mkuranga Abdallah Ulega amesema kuwa barabara ya TAMCO Mapinga itakamilika katika msimu ujao wa fedha na kuwataka wananchi waendelee kuwa wastahmilivu na adha wanayoipitia sasa. Waziri Ulega amesema hayo katika kikao cha siku moja cha Bodi ya Barabara ya Mkoa…

Read More

Siku tatu ngumu za Sowah Simba

NI takribani wiki moja imepita tangu taarifa za mshambuliaji wa Simba, Jonathan Sowah ziripotiwe huku ikielezwa amesimamishwa kutokana na madai ya utovu wa nidhamu. Wakati muda huo ukipita huku kukiwa na ukimya kidogo, mapya yameibuka na kuelezwa uongozi wa klabu hiyo umempa siku…

Read More

TBA YASHIRIKI KLINIKI YA KUTATUA KERO ZA WANANCHI DODOMA

  Wakala wa Majengo Tanzania (TBA) Mkoa wa Dodoma unashiriki katika Kliniki maalum ya kutatua kero na changamoto mbalimbali za wananchi iliyoandaliwa na Ofisi ya Mkuu wa Mkoa wa Dodoma, inayofanyika tarehe 3 hadi 6 Machi, 2026 katika viwanja vya Nyerere Square jijini Dodoma. Kupitia kliniki hiyo, TBA inakutana na wateja wake ambao ni wapangaji…

Read More

ALHIKMA FOUNDATION YATANGAZA MASHARTI 10 YA NDOA 130

:::::::: Msharti 10 yaliyotangazwa na Taasisi ya Al-Hikma ili kutimiza kigezo cha kufanikisha mchakato huo.  Miongoni mwa masharti hayo yaliyotangazwa na mkurugenzi wa taasisi hiyo, Sheikh Nurdin Kishki ni pamoja na mwanamke ndio akachukue fomu ya mchakato huo, awe Mtanzania, muombaji asiwe na mume na huyo mtarajiwa wake asiwe na mke.  Mengine ni awe ameposwa…

Read More

Haki za wanawake zinadorora duniani kote, anaonya mkuu wa Umoja wa Mataifa wa usawa wa kijinsia – Global Issues

“Wakati ulimwengu unapitia kurudi nyuma kwa demokrasia, migogoro inayoongezeka, shinikizo la kiuchumi na kupungua kwa nafasi ya kiraia, kuna msukumo unaozidi kupangwa katika usawa wa kijinsia na kurudi nyuma kwa haki za wanawake,” Sarah Hendriks, UN Women Mkurugenzi, Idara ya Sera, Programu na Kiserikali aliwaambia waandishi wa habari katika mkutano huo mjini New York. “Mifumo…

Read More