WAZIRI ULEGA: BARABARA YA TAMKO MAPINGA KUKAMILIKA
Na Khadija Kalili,Kibaha WAZIRI wa Wizara ya Ujenzi ambaye pia ni Mhe.Mbunge wa Jimbo la Mkuranga Abdallah Ulega amesema kuwa barabara ya TAMCO Mapinga itakamilika katika msimu ujao wa fedha na kuwataka wananchi waendelee kuwa wastahmilivu na adha wanayoipitia sasa. Waziri Ulega amesema hayo katika kikao cha siku moja cha Bodi ya Barabara ya Mkoa…