Unataka kulipiwa mahari? Soma masharti ya Sheikh Kishki

Dar es Salaam. Kama Machi Mosi, 2026 ulisikia tangazo la kulipiwa mahari na umejipanga na mwenza wako, basi huna budi kufahamu masharti 10 yaliyotangazwa na Taasisi ya Al-Hikma ili kutimiza kigezo cha kufanikisha mchakato huo. Miongoni mwa masharti hayo yaliyotangazwa na mkurugenzi wa taasisi hiyo, Sheikh Nurdin Kishki ni pamoja na mwanamke ndio akachukue fomu…

Read More

Wadau wajadili kubadili tafiti za vyuo vikuu kuwa biashara

Unguja. Licha ya Vyuo Vikuu vya Afrika Mashariki (EA) kuzalisha tafiti nyingi, vipaji na miliki bunifu, imeelezwa ni uvumbuzi mchache unaofanikiwa kuingia sokoni kama biashara endelevu na zenye uwezo wa kukua. Ili kubadilisha hali hiyo, Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar kwa kushirikiana na Shirika la Umoja wa Mataifa la Maendeleo (UNDP Tanzania) na Chuo cha…

Read More

SHEIKH MKUU WA TANZANIA AWAHAMASISHA WANAWAKE KUMILIKI ARDHI BAADA YA KUPATA HATI SAMIA ARDHI KLINIKI

Mufti na Sheikh Mkuu wa Tanzania, Abubakar Zubeir, ametoa wito kwa Watanzania kujitokeza kwa wingi kutumia fursa ya huduma za ardhi zinazotolewa kupitia Samia Ardhi Kliniki, akisisitiza umuhimu wa wanawake kumiliki ardhi kama njia ya kujikomboa kiuchumi. Mufti Zubeir alitoa kauli hiyo baada ya kufika katika Kliniki ya Ardhi inayofanyika katika Ofisi za Ardhi za…

Read More