JAI Yagawa Chakula cha Zaidi ya Kilo 500 kwa Wagonjwa Muhimbili na Mloganzila
Taasisi ya Jumuiya ya Tabia za Kiislamu (JAI) imetoa msaada wa chakula chenye uzito wa zaidi ya kilo 500 kwa wagonjwa na ndugu wanaowahudumia katika Hospitali ya Taifa Muhimbili pamoja na kituo chake cha Mloganzila, jijini Dar es Salaam. Msaada huo umetolewa ikiwa ni sehemu ya juhudi za taasisi hiyo kuendeleza matendo ya kijamii na…