Kutolipwa michango EAC, mawaziri wapewa zigo kulitatua

Arusha. Baraza la Mawaziri la Jumuiya ya Afrika Mashariki (EAC), limepewa jukumu la kupitia upya mfumo wa michango ya kifedha ya nchi wanachama na kupendekeza upya makadirio inayopaswa kulipwa itakayolingana na uwezo halisi wa kiuchumi wa kila nchi. Hatua hiyo imekuja kufuatia kuchelewa mara kwa mara kwa baadhi ya nchi kuwasilisha michango yao ya uanachama,…

Read More

Simulizi ya Othman miaka mitano ya visa, mkasa kwenye siasa

Miaka mitano imepita tangu Othman Masoud Othman alipoingia rasmi kwenye siasa, baada ya kuteuliwa kuwa Makamu wa Kwanza wa Rais wa Zanzibar, Machi Mosi, 2021 kupitia chama chake cha ACT Wazalendo. Othman, maarufu kama OMO, aliteuliwa kujaza nafasi iliyoachwa wazi na Maalim Seif Sharif Hamad, aliyefariki Februari 17, 2021 kiongozi wa siasa za upinzani visiwani…

Read More

Serikali ionyeshe njia ya kusaidia wanyonge

Kwa mara nyingine, Tume ya Ushindani wa Haki wa Kibiashara Zanzibar (ZFCC) imewaonya wafanyabiashara wanaokiuka bei elekezi za vyakula zilizopangwa na Serikali. Tume hiyo imewataka wabandike bei za bidhaa zao mahali panapoonekana wazi, na kuonya kuwa watakaokiuka maelekezo hayo watachukuliwa hatua za kisheria. Kwa mtazamo wa kawaida, hatua hiyo inaweza kuonekana kuwa ni jitihada za…

Read More