Marekani Yaipa Iran Saa 48 Kufungua Strait of Hormuz
Global Publishers March 22, 2026 0 Comments Rais wa Marekani, Donald J. Trump, ametuma ujumbe mkali akiilenga Iran kuhusu hali ya usalama katika eneo la Strait of Hormuz. Kupitia ujumbe uliosambaa mtandaoni, Trump ameonya kuwa Iran inapaswa kufungua njia hiyo muhimu ya kimataifa bila vitisho ndani ya muda maalum wa saa 48, akisisitiza kuwa hatua…