Marekani Yaipa Iran Saa 48 Kufungua Strait of Hormuz

Global Publishers March 22, 2026 0 Comments Rais wa Marekani, Donald J. Trump, ametuma ujumbe mkali akiilenga Iran kuhusu hali ya usalama katika eneo la Strait of Hormuz. Kupitia ujumbe uliosambaa mtandaoni, Trump ameonya kuwa Iran inapaswa kufungua njia hiyo muhimu ya kimataifa bila vitisho ndani ya muda maalum wa saa 48, akisisitiza kuwa hatua…

Read More

NAIBU WAZIRI WA UCHUKUZI NA RAIS WA RED CROSS TANZANIA DAVID KIHENZILE ATEMBELEA OFISI ZA RED CROSS AFRIKA KUSINI

JOHANNESBURG: Naibu Waziri wa Uchukuzi, ambaye pia ni Rais wa Red Cross Tanzania David Kihenzile, ametembelea ofisi za Red Cross jijini Johannesburg, ambako alikutana na viongozi wakuu wa Southern African Red Cross Society akiwemo rais na katibu mkuu, na kujadili namna bora ya kuimarisha ushirikiano kati ya Tanzania na Afrika Kusini, hususan katika kuendeleza shughuli…

Read More

Dk Mwinyi ataja vikwazo vitatu ukuaji wa uchumi Zanzibar

Unguja. Rais wa Zanzibar, Dk Hussein Mwinyi ametaja mambo makuu matatu yanayokwamisha uchumi wa Zanzibar kukua kwa kasi na jinsi wanavyoyatafutia ufumbuzi yote kwa mpigo. Mambo hayo ni ufinyu wa bandari, uhaba wa umeme na hifadhi ndogo ya mafuta. Dk Mwinyi ametoa kauli hiyo leo Jumapili Machi 22, 2026 wakati akihutubia wananchi baada ya kuweka…

Read More

Paskazia alivyopambania elimu ya mwanaye mwenye ulemavu

Tanga. Katika kijiji kidogo cha Mjesani wilayani Mkinga, Mkoa wa Tanga kuna simulizi inayogusa moyo na kutoa somo kubwa kuhusu nguvu ya upendo wa mama. Ni hadithi ya mwanamke aliyepambana na changamoto za maisha, umaskini na maumivu ya kutelekezwa, lakini hakukata tamaa katika ndoto yake ya kuona mwanaye mwenye ulemavu akipata elimu bora. Huyu ni Paskazia…

Read More