Je, Tunawezaje Kupitia Ugonjwa wa Hali ya Hewa-Mtandao wa Asia-Pacific? – Masuala ya Ulimwenguni

Madhara ya Kimbunga Odette katika Jiji la Lapu-Lapu, Cebu, Ufilipino, 2021. Credit: Unsplash/Carl Kho Maoni na Anne Cortez (manila, Ufilipino) Jumanne, Machi 03, 2026 Inter Press Service MANILA, Ufilipino, Machi 3 (IPS) – Jamii duniani kote zinazidi kukabiliwa na vitisho vinavyoingiliana. Hali ya hewa kali, dharura za kiafya na mashambulizi ya mtandaoni yanatokea mara kwa…

Read More

TANZANIA NA ALGERIA KUIMARISHA USHIRIKIANO WA OLIMPIKI

Balozi wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania nchini Algeria, Mhe. Iman Njalikai, alikutana na kufanya mazungumzo na Rais wa Chama cha Kamati za Kitaifa za Olimpiki za Afrika (ANOCA), Bwa. Mustapha Berraf, tarehe 01 Machi, 2026, katika Ofisi za Michezo ya Vijana Afrika, jijini Algiers. Kupitia mazungumzo hayo, wawili hao walijadili kuhusu namna ya kuimarisha…

Read More

Kufadhili Uhifadhi wa Bioanuwai barani Afrika kwa Usaidizi wa Wafadhili Unaopungua – Masuala ya Ulimwenguni

Luther Bois Anukur, Mkurugenzi wa Kanda wa IUCN ESARO, alihojiwa katika Makao Makuu ya Kanda ya IUCN jijini Nairobi, Kenya. Credit: Isaiah Esipisu/IP na Isaya Esipisu (nairobi) Jumanne, Machi 03, 2026 Inter Press Service NAIROBI, Machi 3 (IPS) – Wakati jumuiya ya kimataifa ikiadhimisha Siku ya Wanyamapori Duniani 2026 leo (Machi 3), lengo la mwaka…

Read More

NAIBU WAZIRI NISHATI AKUTANA NA MKURUGENZI WA GO PLANT TANZANI

……….. Dodoma Naibu Waziri wa Nishati, Mhe. Salome Makamba amekutana na Mkurugenzi wa Go Plant Tanzania Bw. Emmanuel Likida kwa lengo la kujadili namna ya kushirikiana katika maandalizi ya Mjadala (Debate) wa Clean Cooking Solutions utakaowahusisha wanafunzi wa shule za Sekondari katika Halmashauri za Mkoa wa Dodoma.  Katika kikao hicho, pande zote mbili zimejadili umuhimu…

Read More

Mafuriko ya mvua yaziacha kaya 14 bila makazi Moshi

Moshi. Kaya 14 zenye jumla ya watu 39 katika Mtaa wa Viwanda, Kata ya Njoro, Manispaa ya Moshi mkoani Kilimanjaro zimekosa makazi baada ya nyumba zao kuzingirwa na mafuriko yaliyosababishwa na mvua kubwa iliyonyesha kwa zaidi ya saa sita usiku wa kuamkia Machi 2, 2026. Mbali na kupoteza makazi, familia hizo zinakabiliwa na uhaba wa…

Read More

JWK YAVUTIWA NA DAWATI LA UWEZESHAJI BIASHARA LA FORODHA

Uongozi wa Jumuiya ya Wafanyabiashara wa Kariakoo (JWK) umefanya ziara ya kutembelea dawati maalum la uwezeshaji biashara Kariakoo katika Idara ya Forodha na Ushuru ya Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) na kupongeza namna huduma zinavyotolewa katika kurahisisha biashara. Akizungumza wakati wa ziara hiyo Mwenyekiti wa Jumuiya ya Wafanyabiashara Kariakoo Bw. Sevelin Mushi amesema dawati hilo…

Read More