Msimu huu namba za Yanga zinakataa, mtihani uko hapa!

NAMBA ambazo Yanga walizitengeneza msimu uliopita wa ligi 2024-2025, zinaonekana kuwakimbia msimu huu wa 2025-2026 na watatakiwa kufanya kazi ya ziada ili kuzifikia  huku mambo yakionekana kutowaendea vizuri. Yanga ambao wamemaliza mzunguko wa kwanza wa Ligi Kuu Bara wakiwa kileleni, jana walianza mzunguko wa pili kwa kuambulia sare ya bao 1-1 dhidi ya Mtibwa Sugar…

Read More

Chelsea Yapokea Kipigo Kingine cha Aibu Dhidi ya Everton

Global Publishers March 21, 2026 0 Comments Mshambuliaji Beto ameibuka shujaa wa Everton FC baada ya kufunga mabao mawili muhimu yaliyoisaidia timu yake kuibuka na ushindi mnono wa mabao 3-0 dhidi ya Chelsea FC katika mchezo uliopigwa kwenye dimba la Hill Dickinson. Everton walionyesha ubora wao tangu dakika za mwanzo za mchezo huo, huku Beto…

Read More

Mabingwa Watetezi Pyramids Waaga CAFCL Kwa Maumivu

Global Publishers March 22, 2026 0 Comments Mabingwa watetezi wa CAF Champions League, Pyramids FC, wameaga rasmi michuano hiyo baada ya kutolewa na AS FAR Rabat kwa jumla ya mabao 3-2 katika hatua ya robo fainali. Baada ya sare ya 1-1 kwenye mchezo wa mkondo wa kwanza, Pyramids walishuka dimbani wakiwa na matumaini ya kusonga…

Read More

Lissu aitahadharisha Mahakama kuhusu afya yake mahabusu 

Dar es Salaam. Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Tundu Lissu ameieleza Mahakama ya Rufani yuko katika hatari ya afya yake kuathirika zaidi kwa kushindwa kuhudhuria kliniki ya matibabu yake kutokana na kushikiliwa mahabusu kwa muda mrefu. Hivyo, ameiomba Mahakama hiyo kulisikiliza kwa dharura shauri la mapitio lililofunguliwa mahakamani hapo na Jamhuri dhidi yake kupinga uamuzi wa…

Read More

Umuhimu wa kuisoma familia ya mtarajiwa

Kujua familia ya mwenza mtarajiwa ni jambo muhimu sana katika mchakato wa kujenga uhusiano imara wa ndoa. Familia ni nguzo muhimu katika maisha ya kila mtu, na mara nyingi inaathiri tabia, mitindo ya maisha, na maadili ya mtu. Kwa hiyo, ni muhimu kwa mpenzi kumfahamu vizuri familia ya mwenza wake mtarajiwa ili kuelewa mizizi yake,…

Read More

Trump alaumiwa kwa kufurahia kifo cha bosi wa zamani wa FBI

Dar es Salaam. Rais wa Marekani, Donald Trump, amekumbana na wimbi la lawama baada ya kutoa kauli iliyotafsiriwa kuwa ya kikatili kutokana na kifo cha Robert Mueller, aliyekuwa mkurugenzi wa zamani wa Shirika la Upelelezi la Marekani (FBI). Mueller, mkongwe wa vita vya Vietnam na mwanasheria aliyewahi kuongoza uchunguzi nyeti kuhusu madai ya Russia kuingilia…

Read More