Rais Samia Ahitimisha Ziara ya Siku Mbili Arusha

Global Publishers March 2, 2026 0 Comments Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. Samia Suluhu Hassan leo Jumatatu Machi 02, 2026 amehitimisha ziara yake ya kikazi ya siku mbili Mkoani Arusha. Katika uwanja wa ndege wa Kimataifa wa Kilimanjaro (KIA) Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan ameagwa na Mkuu wa Mkoa wa Arusha CPA…

Read More

Tanzania, Ghana zakubaliana haya | Mwananchi

Dar es Salaam. Tanzania na Ghana zimekubaliana kuimarisha ushirikiano wa kimkakati hususan katika mageuzi ya kiuchumi, ajira kwa vijana na maendeleo ya uchumi wa kidijitali. Makubaliano hayo, yamefikiwa leo Jumatatu, Machi 1, 2026 katika mazungumzo baina ya Rais wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan na Rais wa Ghana, John Mahama yaliyofanyika Ikulu Arusha. Taarifa iliyotolewa na…

Read More

Rais Samia akutana na Kuzungumza na Rais wa Jamhuri ya Ghana Mhe. John Dramani Mahama, Ikulu Ndogo ya Arusha, Mkoani Arusha.

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa Dkt. Samia Suluhu Hassan akisalimiana na Rais wa Jamhuri ya Ghana Mhe. John Dramani Mahama mara baada ya kuwasili katika Ikulu Ndogo ya Arusha tarehe 02 Machi, 2025. Rais wa Ghana Mhe. Mahama amewasili Mkoani Arusha kwa ajili ya Ziara ya Kikazi, ambapo anatarajiwa kuwa mgeni Rasmi…

Read More

Viongozi wa Umoja wa Mataifa, Wanadiplomasia Waonya Kukosekana kwa Uthabiti kwa Mashariki ya Kati Kufuatia Mashambulio ya Anga ya Wikendi nchini Iran – Masuala ya Ulimwenguni

Katibu Mkuu António Guterres akihudhuria mkutano wa Baraza la Usalama kuhusu hali ya Mashariki ya Kati. Credit: UN Photo/Eskinder Debebe. na Naureen Hossain (umoja wa mataifa) Jumatatu, Machi 02, 2026 Inter Press Service UMOJA WA MATAIFA, Machi 2 (IPS) – Maŕekani na Israel zilianzisha mashambulizi ya pamoja ya kijeshi dhidi ya Iŕan Febŕuaŕi 28. Iran…

Read More

KIKUNDI CHA AMANI NCHINI WAFANYA MKUTANO MAALUMU ULIOLENGA KUHAMASISHA UZALENDO NA KUELEZEA MAFANIKIO YA SERIKALI

Na Oscar Assenga,Tanga KIKUNDI cha Amani nchini kimefanya mkutano maalumu leo katika Jiji la Tanga uliolenga kuhamasisha uzalendo, kuelezea mafanikio ya Serikali na kupongeza utekelezaji wa ahadi za siku 100 za Rais tangu alipochaguliwa 2025. Akizungumza wakati wa mkutano huo Maalumu Mwenyekiti wa Kikundi hicho nchini Hassan Kubebelwa alitoa wito kwa watanzania hususani vijana wametakiwa…

Read More

Barnabas aanika mipango Transit Camp

KOCHA mpya wa Transit Camp, Vicent Barnabas amesema ataendelea kusimamia malengo ya timu hiyo ya kuhakikisha inapanda Ligi Kuu Bara msimu huu, licha ya ushindani mkubwa uliopo katika Ligi ya Championship, hususani mechi hizi za mwishoni. Akizungumza na Mwanaspoti, Barnabas, amesemalicha ya kukabidhiwa majukumu hayo makubwa, ila jambo analojivunia ni kukaa na timu hiyo kwa…

Read More