TUONGEE KIUME: Tuheshimu kiapo cha ndoa, talaka si ujanja
Katika miaka ya hivi karibuni, kumekuwa na wimbi la kusikitisha la kuvunjika kwa ndoa nchini, huku takwimu zikionyesha kuwa wanaume wengi wameanza kuichukulia talaka kama jambo la kawaida au fasheni. Tofauti na zamani ambapo talaka ilionekana kuwa ni jambo la mwisho na la dharura baada ya jitihada zote kushindikana, leo hii imekuwa ni kama “mazoea”…