Huu hapa utaratibu wa kupata mikopo ya Sh200 bilioni kwa vijana
Dar es Salaam. Wizara ya Maendeleo ya Vijana, imeanika wazi mwongozo kwa vijana namna ya kuomba na kunufaika na mikopo ya Sh200 bilioni ambayo imekuwa ikitangazwa na Serikali kuwa lengo lake ni kuwawezesha kiuchumi. Katika mwongozo huo uliotolewa leo Jumamosi Machi 21, 2026, serikali imeeleza kuwa waombaji ni mtu mmoja au kikundi na wanatakiwa kuwa…