BAKWATA Yamtangaza Rais Samia Kuongoza Baraza la Eid Jijini Dar

Global Publishers March 20, 2026 0 Comments Waislamu nchini Tanzania kesho Machi 21, 2026  wanatarajiwa kuadhimisha Sikukuu ya Eid El-Fitri kwa shangwe na ibada maalum, ikiwa ni hitimisho la mwezi mtukufu wa Ramadhani. Nchini Tanzania, Baraza Kuu la Waislamu Tanzania (BAKWATA) limetangaza kuwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan, atakuwa mgeni…

Read More

TANZANIA KUENDESHA MAFUNZO, KONGAMANO LA USHIRIKISHWAJI WA WANAWAKE KWENYE USULUHISHI WA MIGOGORO KWA NJIA MBADALA

Tanzania yafanya maandalizi ya kuendesha mafunzo na kongamano la ushirikishwaji wa wanawake kwenye usuluhishi wa migogoro kwa njia mbadala ili kuongeza idadi ya wanawake waliothibitishwa kwenye ngazi ya maamuzi na ushiriki kwenye utatuzi wa migogoro ndani na nje ya nchi. Hayo yameelezwa leo na Mwenyekiti wa Bodi ya Wakurugenzi wa Kituo cha Kimataifa cha Usuluhishi…

Read More

Sare ya Simba yalinda rekodi ya Yanga

Simba juzi Alhamisi, Machi 19, 2026 ililazimishwa sare ya bao 1-1 na Pamba Jiji katika mechi ya Ligi Kuu ya NBC iliyochezwa kwenye Uwanja wa CCM Kirumba Mwanza. Matokeo hayo yameifanya Simba ipande hadi nafasi ya tatu kwenye msimamo wa ligi ikifikisha pointi 28 huku Pamba jiji ikibaki katika nafasi ya tano ikifikisha pointi 25….

Read More

Kuongezeka kwa Jua nchini Pakistani Kukabili Mgogoro wa Nishati wa Mashariki ya Kati – Masuala ya Ulimwenguni

Serikali ya Sindh imeanza kusambaza mifumo ya nishati ya jua kwa kaya 200,000 za kipato cha chini chini ya Mradi wa Nishati ya jua wa Sindh ili kuboresha upatikanaji wa umeme. Credit: Sindh People’s Housing kwa Walioathiriwa na Mafuriko na Zofeen Ebrahim (karachi, pakistan) Ijumaa, Machi 20, 2026 Inter Press Service KARACHI, Pakistani, Machi 20…

Read More

Dereva mbaroni kwa kusafirisha wahamiaji haramu

Njombe. Jeshi la polisi mkoa wa Njombe linamshikilia Sipha Credo Mgonde (47) ambaye ni dereva na mkazi wa Mbagala  jijini Dar es salaam kwa tuhuma za kusafirisha wahamiaji haramu ambao wanatajwa kuwa ni raia wa kigeni kutoka huko nchini Ethiopia. Dereva huyo amekamatwa katika Kijiji cha Mtewele kilichopo Halmashauri ya Wilaya ya Wanging’ombe huko mkoani…

Read More

Profesa Kitila anadi uwekezaji wa kimkakati China

Dar es Salaam. Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Mipango na Uwekezaji, Profesa Kitila Mkumbo, ameitangaza Tanzania nchini China kama kitovu cha uwekezaji wa kimkakati, akisema nchi hiyo imejipanga kuwa lango la biashara, uzalishaji na usafirishaji kwa soko la kikanda na bara la Afrika. Akihutubia jukwaa la kibiashara kati ya jimbo la Shandong (Weihai) na…

Read More

Iran Yathibitisha Kuuawa kwa msemaji wa IRGC katika shambulizi la kushtukiza

Global Publishers March 20, 2026 0 Comments Jeshi la Walinzi wa Mapinduzi ya Kiislamu la Iran (Islamic Revolutionary Guard Corps) limethibitisha kifo cha msemaji wake, Brigedia Jenerali Ali Mohammad Naini, kufuatia shambulizi lililoripotiwa kufanyika alfajiri ya leo na kuhusisha vikosi vya Marekani kwa ushirikiano na Israel. Kwa mujibu wa taarifa iliyotolewa na IRGC leo Ijumaa,…

Read More

Mwanafunzi wa chuo kikuu afariki chumbani Morogoro

Morogoro. Mwanafunzi wa Chuo Kikuu cha Waislamu Morogoro (MUM), Hussein Rashid Omary (23) amekutwa amefariki dunia ndani ya chumba chake katika tukio lililoibua taharuki miongoni mwa wakazi wa eneo ambalo akiishi Kihonda Maghorofani. Akizungumza na waandishi wa habari leo Machi 20.2026 , Kamanda wa Polisi Mkoa wa Morogoro, Alex Mkama amesema mwanafunzi huyo alikuwa akisoma…

Read More