Sababu walimu wa diploma kufundisha shule za msingi

Dar es Salaam. Katika hatua inayotarajiwa kubadili mwelekeo wa ubora wa elimu nchini, Serikali inatarajia kuanza kuwapanga walimu wapya kulingana na viwango vyao vya elimu huku walimu wanaohitimu stashahada (diploma) wakielekezwa moja kwa moja kufundisha katika shule za msingi. Mpango huo ni sehemu ya utekelezaji wa Sera ya Elimu ya mwaka 2014, toleo la mwaka…

Read More

Askofu Shoo apendekeza neno haki liwekwe kwenye wimbo wa Taifa

Arusha. Askofu wa Dayosisi ya Kaskazini ya Kanisa la Kiinjili la Kilutheri Tanzania (KKKT), Dk Frederick Shoo amependekeza neno “haki” liingizwe katika wimbo wa Taifa ili kusisitiza umuhimu wa kutekeleza haki, amani na maendeleo endelevu nchini. Akizungumza katika jukwaa la wazi lililowakutanisha viongozi wa dini kutoka madhehebu mbalimbali na vijana, lililofanyika jijini Arusha, Dk Shoo…

Read More

TWCA yagawa vitabu kuhamasisha masomo ya biashara

Dodoma. Katika juhudi za kuimarisha elimu na kuwajengea wanafunzi msingi imara wa taaluma za biashara, Chama cha Wanawake Wahasibu Tanzania (TWCA) kimetoa msaada wa vitabu 310 vya masomo ya biashara kwa Shule ya Sekondari Chinangali. Hatua hiyo imekuja kama mwanga mpya kwa wanafunzi waliokuwa wakikabiliwa na changamoto ya uhaba wa vitabu, hali iliyokuwa ikiathiri uelewa…

Read More

Mkutano wa Injili Tabora kufanyika kwa masharti

Tabora/Dar. Sakata la zuio la mkutano wa Injili mkoani Tabora limechukua sura mpya baada ya Serikali kuruhusu ufanyike lakini kwa masharti, ikiwamo mmoja wa wainjilisti kutohudhuria. Mkutano huo unaanza leo Alhamisi, Machi 19–22, 2026 huku muinjilisti Paulo Ndutu akipigwa marufuku kushiriki katika shughuli hiyo. Katika kikao cha maridhiano kilichoongozwa na Kamanda wa Polisi Mkoa wa Tabora,…

Read More

Aliyekataa penalti ya Yanga vs Azam, Singida BS vs Simba wafungiwa

WAAMUZI Hussein Katanga kutoka Tabora na Ally Mnyupe wa Morogoro, wamekumbana na adhabu za kufungiwa kutokana na makosa yaliyotokea kwenye michezo waliyochezesha. Waamuzi hao wawili wamefungiwa kwa mizunguko mitatu kufuatia Kamati ya Usimamizi wa Ligi kuwakuta na hatia kutokana na kushindwa kufanya uamuzi sahihi kwenye matukio mawili tofauti yanahohusisha penalti, yaliyotokea kwenye michezo miwili tofauti….

Read More

Wadau waona fursa mpya utekelezaji mapendekezo ya tume ya kodi

Dar es Salaam. Siku moja baada ya Tume ya Rais ya Kutathmini Maboresho ya Mfumo wa Kodi kuwasilisha mapendekezo 284 mbele ya Rais Samia Suluhu Hassan, wadau wamesema kuwa, ikiwa kilichosemwa kitatekelezwa kikamilifu, mageuzi makubwa yatashuhudiwa. Miongoni mwa mapendekezo yaliyotolewa ni mabadiliko katika sekta ya kodi, ikiwamo kubadili jina la Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA)…

Read More

MAADHIMISHO YA WIKI YA HAKI ZA MLAJI YAENDELEA KITAIFA

 Mkaguzi wa Bidhaa bandia kutoka FCC Bi.Diana Augustine akitoa elimu kuhusiana madhara ya bidhaa bandia katika shule ya Msingi Bunge ikiwa ni sehemu ya kuelekea Maadhimisho ya Wiki ya Siku ya Haki za Mlaji Duniani. …. TUME ya Ushindani (FCC) leo Machi 19,2026 imetoa elimu kwa wanafunzi wa Shule ya Msingi Bunge kuhusu masuala ya kumlinda…

Read More

Simba yabanwa Kirumba, Azam Lake Tanganyika

WAKATI jana mashabiki wa Simba wakifurahia sare ya mchezo wa TRA United dhidi ya Yanga, leo Alhamisi ikawa zamu ya wenzao kushangilia baada ya wekundu hao kulazimishwa sare ya bao 1-1 dhidi ya Pamba Jiji kwenye Uwanja wa CCM Kirumba, Mwanza. Simba ilitumia dakika tatu pekee kufurahia bao lake lililofungwa dakika ya 33 na Anicent…

Read More