Wanafunzi wajikusanyia mamilioni ya ubunifu, ujasiriamali

Dar es Salaam. Katika juhudi za kuchochea ubunifu, utafiti na uthubutu miongoni mwa vijana, sambamba na kuimarisha elimu ya fedha na ujasiriamali wa vitendo katika shule za sekondari, wanafunzi kutoka shule mbalimbali nchini wamezawadiwa fedha taslimu baada ya kuibuka washindi wa mashindano ya kitaifa. Washindi hao wamepatikana kupitia mashindano ya uandishi wa insha na ubunifu…

Read More

Wanawake wahimizwa kuchangamkia fursa sekta ya usuluhishi

Dar es Salaam. Wakati sekta ya Utatuzi wa Migogoro kwa Njia Mbadala (ADR) ikiendelea kukua kwa kasi duniani ikiwemo Tanzania, wadau wamewataka wanawake kujitokeza na kuchangamkia fursa hiyo kwani bado inatawaliwa zaidi na wanaume. Kwa mujibu wa takwimu za tafiti mbalimbali barani Afrika, asilimia 72 ya wasuluhishi ni wanaume huku wanawake wakiwa ni asilimia 28…

Read More

Usafiri kikwazo ufuatiliaji elimu, mwarobaini watolewa

Unguja. Licha ya maendeleo ya elimu kuanza kuimarika Zanzibar, imebainika kuwa ukosefu wa usafiri kwa maofisa elimu wa mikoa na wilaya unashusha ufanisi, kutokana na kushindwa kufuatilia utendaji wa shule, hasa zile zilizopo maeneo ya vijijini. Kutokana na hali hiyo, Serikali imenunua pikipiki 15 kwa ajili ya maofisa wa wilaya na mikoa yote ya Zanzibar,…

Read More

Radi ilivyowaua wanafunzi Dar, taratibu za mazishi…

Dar es Salaam. Hali ya huzuni imeendelea kutawala katika eneo la Msongola, wilayani Ilala, jijini Dar es Salaam kufuatia vifo vya wanafunzi watatu wa Shule ya Msingi Msongola waliopoteza maisha kwa kupigwa na radi huku familia zao zikiendelea na maandalizi ya mazishi. Taarifa zinaeleza miili ya wanafunzi wawili tayari imeanza kusafirishwa kwenda mikoani kwa ajili…

Read More