WANANCHI WA MPANDA KUNUFAIKA NA MRADI WA TACTIC

****** ‎Mkurugenzi wa Halmashauri ya Manispaa   ya Mpanda, Bw. Gwalusajo Kapande amesema kuwa utekelezaji wa mradi wa Uendelezaji wa Miundombinu ya Miji Tanzania (TACTIC) katika Manispaa hiyo utaleta mabadiliko chanya kwa wana Mpanda na wageni katika utoaji huduma na mahitaji mbalimbali ya usafiri na usafirishaji, mazingira bora ya shughuli za kiuchumi na ongezeko la mapato…

Read More

Marekani Yatoa Onyo la Mwisho kwa Iran Kuhusu Shambulio la Qatar

Rais wa Marekani, Donald Trump, ametoa onyo kali kwa Iran, akisisitiza kuwa taifa hilo litakumbana na hatua kali iwapo litaendelea na mashambulizi dhidi ya miundombinu ya nishati katika eneo la Ghuba, hasa Qatar. Kupitia ujumbe aliouchapisha katika mtandao wa Truth Social, Trump alieleza kuwa Marekani haikuhusika kwa namna yoyote na shambulio la hivi karibuni lililofanywa…

Read More

MAAFISA UGANI KUONGOZA MAPINDUZI YA KILIMO KILIMANJARO

****** Na Ashrack Miraji Torch Media   Serikali mkoani Kilimanjaro imeanza utekelezaji wa mkakati maalum wa kuwawezesha maafisa ugani kupitia mafunzo ya kitaalamu, ikiwa ni jitihada za kuleta mapinduzi katika sekta ya kilimo na kuongeza tija kwa wakulima. Hatua hiyo inalenga pia kukabiliana na athari za mabadiliko ya tabianchi pamoja na kuinua kipato cha wakulima katika…

Read More

Bilionea David Mulokozi Afanyiwa Birthday ya Kifalme, Banana Zoro Aitikisa Babati

Na Mwandishi Wetu. Babati, Manyara: Sherehe ya kumbukizi ya kuzaliwa ya Mkurugenzi wa Mati Super Brands Ltd, Bilionea David Mulokozi, imegeuka kuwa somo la upendo na kuthaminiana baada ya mkewe, Doreen Mulokozi, kumuandalia tukio la kushtukiza lililogusa wengi. Katika sherehe hiyo iliyofanyika Babati Mjini na kuhudhuriwa na wageni mbalimbali waalikwa, Doreen alimzawadia mumewe zawadi mbili…

Read More

Je, WWIII hapa? – Masuala ya Ulimwenguni

Vita vya Russo-Ukrainian, vilivyoanza Februari 2014, havionyeshi dalili za kumalizika. Credit: UNOCHA/Dmytro Filipskyy Maoni na Nickolay Kapitonenko (Kyiv, Ukraine) Alhamisi, Machi 19, 2026 Inter Press Service KYIV, Ukraine, Machi 19 (IPS) – Inazidi kuwa vigumu kupuuza mvutano, ghasia na kutokuwa na uhakika duniani katika miaka ya hivi karibuni. Idadi ya vita inaongezeka, pesa nyingi zaidi…

Read More