MBUNGE BUKOBA MJINI ATOA MSAADA KWA MAKUNDI MAALUM,WANUFAIKA WA TASAF
Na Diana Byera,Bukoba MBUNGE wa Jimbo la Bukoba Mjini, Johnston Mutasingwa ameendelea kugusa maisha ya wananchi kwa vitendo baada ya kutoa msaada kwa makundi maalum pamoja na wanufaika wa Mfuko wa Maendeleo ya Jamii (TASAF) katika Kata ya Kibeta katika kipindi iki cha Mfungo wa Kwalezima na Ramadhan Msaada huo umekabidhiwa leo Machi 18,2026 kupitia…