Daktari aeleza kitaalamu chanzo majeraha ya mastaa Yanga

KAMA wodi ya wagonjwa sasa huko Jangwani inaelekea kujaa kufuatia idadi ya majeruhi kuongezeka ikiwa ni siku chache tangu kutangazwa kuwa nahodha msaidizi wa kikosi hicho, Dickson Job na Clement Mzize watakuwa nje ya uwanja kwa zaidi ya wiki sita, huku mmoja wa madaktari bingwa akitaja sababu na suluhisho lake. Madaktari wa klabu hiyo wamethibitisha…

Read More

Ishu ya Simba, Sowah yafikia hapa!

MJUMBE wa Bodi ya Wakurugenzi ya Simba, Swedi Mkwabi amesema suala la Jonathan Sowah bado lipo katika kamati ya nidhamu ya klabu hiyo, hivyo uamuzi wake utatolewa kila kitu kitakapokuwa sawa. Mkwabi aliyasema hayo baada ya kuwepo kwa taarifa za Sowah kujibu tuhuma zinazomkabili zilizofanya uongozi wa klabu kumsimamisha tangu timu ilipokuwa ikijiandaa na mechi…

Read More

Fahamu Nchi 20 Zenye Jeshi Lenye Nguvu Zaidi Duniani 2026

Nguvu ya kijeshi kisasa haipimwi tu kwa kuhesabu askari. Inahusisha idadi ya wanajeshi, bajeti za ulinzi, teknolojia ya kisasa, uwezo wa kimkakati, na ushirikiano wa kijeshi. Mnamo mwaka 2026, majeshi yenye nguvu zaidi duniani yanaimarisha ushawishi wao wa kimataifa kupitia anga, baharini, mitandao ya kielektroniki, na ulinzi wa anga ya juu. Kulingana na Global Firepower…

Read More

MWENYEKITI WA KAMATI YA BUNGE AITAKA MUHAS KUONGEZA KASI YA KUITANGAZA KAMPASI YA MLOGANZIL

******* Mwenyekiti wa Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Elimu, Utamaduni na Michezo, Mhe. Husna Sekiboko, amekitaka Chuo Kikuu cha Afya na Sayansi Shirikishi Muhimbili (MUHAS), kwa kushirikiana na Wizara, kuongeza kasi ya kuitangaza Kampasi ya Mloganzila kutokana na uwekezaji mkubwa unaoendelea. Mhe. Sekiboko ametoa rai hiyo Machi 17, 2026 jijini Dar es Salaam wakati…

Read More

TUMEONDOA VAT KATIKA UAGIZAJI WA MITUNGI YA GESI ILI KURAHISISHA UPATIKANAJI WA NISHATI SAFI YA KUPIKIA KWA WANANCHI- NDEJEMBI

******** Waziri wa Nishati,  Deogratius Ndejembi amesema kuwa Serikali imeondoa Kodi ya Ongezeko la Thamani (VAT) kwenye uagizaji wa mitungi ya gesi (LPG), mitungi mikubwa ya gesi (LPG bulk facility) pamoja na carbonizers za kutengeneza mkaa mbadala ikiwa ni sehemu ya jitihada zinazofanywa na Serikali kupunguza bei na kurahisisha upatikanaji wa nishati safi ya kupikia…

Read More

NAIBU KATIBU MKUU CCM ZANZİBAR AHIMIZA VIONGOZI,WANACHAMA KUDUMISHA AMANI

Na Mwandishi Wetu NAIBU Katibu Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Zanzibar, Dkt. Mohammed Said Mohammed (DIMWA), amewahimiza viongozi na wanachama wa Chama hicho kuendelea kudumisha amani na utulivu nchini, sambamba na kushiriki kikamilifu katika kukijenga na kukiimarisha chama. Ametoa mwito huo alipokuwa akizungumza katika hafla ya futari ya pamoja aliyoiandaa katika Ofisi Kuu ya…

Read More

TASAC YATAKA WANANCHI KUTUMIA VYOMBO VILIVYOIDHINISHWA KUBEBA ABIRIA

Na Mwandishi wetu Shirika la Uwakala wa Meli Tanzania (TASAC) limewataarifu wananchi wanaotumia usafiri kwa njia ya maji kutumia vyombo vya usafiri majini vilivyoidhinishwa kubeba abiria na kuepuka kupanda vyombo vya mizigo ambavyo haviruhusiwi kubeba abiria. Kwa mujibu wa taarifa kwa umma iliyotolewa na TASAC, wananchi wanahimizwa kuchukua tahadhari kufuatia visa vinavyoripotiwa vya baadhi ya…

Read More

Vita vya Mashariki ya Kati vinahatarisha kusukuma watu milioni 45 zaidi kwenye njaa kali – Masuala ya Ulimwenguni

“Zaidi ya kuanguka mara moja nchini Lebanon, mzozo huo pia umesababisha athari kubwa kwenye operesheni za kibinadamu za kimataifa; kwa kweli tunasikia uchungu juu ya hili,” WFP Naibu Mkurugenzi Mtendaji Carl Skau aliwaambia waandishi wa habari mjini Geneva. “Minyororo yetu ya usambazaji inaweza kuwa kwenye ukingo wa usumbufu mkubwa zaidi tangu COVID na vita vya…

Read More