TANZANIA YAADHIMISHA MIAKA 5 YA HAYATI DKT JOHN POMBE MAGUFULI

Leo Tanzania inaadhimisha miaka mitano tangu kuondoka kwa aliyekuwa Rais wa Awamu ya Tano, Hayati Dkt. John Pombe Magufuli nyumbani kwake wilayani Chato mkoani Geita nhuku Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Emmanuel Nchimbi akiwa ameshawasili tayari kuongoza maadhimisho hayo ya kitaifa. Maadhimisho haya yanatarajiwa kupambwa na Misa Takatifu itakayofanyika…

Read More

Shughuli ya kuwatafuta watu watatu waliozama majini yaendelea

Tanga. Utafutaji wa watu watatu waliopotea kufuatia kuzama kwa jahazi katika Bahari ya Hindi, eneo la Nungwi kisiwani Unguja, bado unaendelea huku matumaini ya kuwapata yakiwa yameanza kupungua. Jahazi hilo lililosajiliwa kwa ajili ya kubeba mizigo, lilikuwa limebeba watu 12 kinyume na taratibu wakati lilipopata ajali Machi 14, 2026. Miili ya watu wawili ilipatikana jana,…

Read More

Huduma za afya CCBRT zatikiswa, sababu zatajwa

Dar es Salaam. Dalili za kuyumba kwa baadhi ya huduma zimeanza kuonekana katika Hospitali ya CCBRT, inayojulikana kwa huduma za matibabu maalumu ya wenye ulemavu na uzazi kutokana na changamoto za kifedha. Ugumu unaopitiwa na hospitali hiyo iliyopo Msasani jijini Dar es Salaam, ni katika utoaji wa huduma bure kwa watu wenye matatizo ya macho,…

Read More

Ushirikiano wa UNDP, TIB kuibua uchumi jumuishi na endelevu

Dar es Salaam. Mkataba wa makubaliano uliosainiwa kati ya Shirika la Maendeleo la Umoja wa Mataifa (UNDP) na Benki ya TIB umetajwa kuwa hatua muhimu itakayoiwezesha Tanzania kuimarisha vyanzo vya ndani vya maendeleo na kupunguza utegemezi wa wafadhili wa kimataifa. Makubaliano hayo ya miaka minne yanalenga kuendeleza mifumo bunifu ya ufadhili wa maendeleo, itakayochangia mageuzi…

Read More