Wataalamu Wafichua Hatari Kubwa za Kuvuta Shisha, Jua Kabla Hujaanza Kuvuta
Global Publishers March 24, 2026 0 Comments Katika jamii ya leo, uvutaji wa shisha umeonekana kuwa ni sehemu ya burudani, hasa miongoni mwa vijana. Wengi huamini kuwa shisha ni salama zaidi kuliko sigara, lakini ukweli ni kwamba matumizi yake yanaweza kusababisha madhara makubwa kiafya. Kwanza, shisha ina kemikali hatari pamoja na nikotini ambayo husababisha utegemezi….