Chadema kibarua tena leo mahakamani Dodoma

Dar es Salaam. Mawakili wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) leo Jumanne, Machi 24, 2026 watakuwa na kibarua kingine kuishawishi mahakama wakati wa usikilizwaji wa mashauri manne yanayotokana na kesi ya madai ya mgawanyo wa rasilimali usio sawa kati ya Tanzania Bara na Zanzibar inayokikabili. Mashauri hayo ya mapitio yaliyopewa usajili wa maombi ya…

Read More

Yanga Yamrudisha Abdihamid Moalin Kuinua Kiwango cha Timu

Global Publishers March 24, 2026 0 Comments Klabu ya Yanga, imetangaza kumrejesha kocha Abdihamid Moalin kuwa kocha Msaidizi chini ya Kocha Mkuu Pedro Gonçalves hatua ambayo klabu hiyo imeeleza kuwa imalenga kutatua changamoto ya kiufundi klabu hiyo inayopelekea kupata wakati mgumu kupata matokeo mazuri na kucheza vizuri. Taarifa ya Machi 23, 2026 iliyotolewa na klabu…

Read More

Japan Yaanza Kuachia Akiba ya Mafuta Kukabiliana na Upungufu wa Nishati

Global Publishers March 24, 2026 0 Comments Waziri Mkuu wa Japan, Sanae Takaichi Serikali ya Japan imetangaza kuanza kuachia sehemu ya akiba yake ya kitaifa ya mafuta kuanzia Alhamisi, hatua inayolenga kukabiliana na wasiwasi unaoongezeka kuhusu usambazaji wa nishati duniani. Tangazo hilo limetolewa na Waziri Mkuu wa Japan, Sanae Takaichi, kupitia ujumbe aliouchapisha kwenye mtandao…

Read More

Umbali mrefu shuleni unavyoyumbisha wanafunzi kitaaluma -2

Bagamoyo. Wanafunzi kutembea umbali mrefu kwenda na kurudi shule ni moja ya changamoto zinazoripotiwa mara kwa mara nchini. Sababu kuu ni mchanganyiko wa sababu za kijografia, hamahama ya baadhi ya jamii, uchaguzi wa shule zenye matokeo mazuri bila kuzingatia umbali, na baadhi ya shule kuwa mbali na makazi ya watoto. Vilevile, uchumi wa familia, kutokuwepo…

Read More

Pengo la fedha latishia mapambano dhidi ya kifua kikuu

Dar es Salaam. Uwekezaji wa fedha katika kushughulikia ugonjwa wa kifua kikuu (TB) nchini Tanzania bado haujitoshelezi, hali inayochangia kuendelea kuwepo kwa maambukizi mapya na vifo vinavyoweza kuzuilika, licha ya jitihada mbalimbali zinazofanywa na Serikali na wadau wa maendeleo. Takwimu zinaonesha Tanzania inachangia takribani asilimia 22 pekee ya fedha zote za mapambano dhidi ya TB,…

Read More

Mgambo wadaiwa kumuua raia Mwanza

Mwanza/Dar. Utata umeibuka kuhusu taarifa ya chanzo cha kifo cha Rashid Nyandonga (31), kufuatia ukinzania baina ya kinachoelezwa na Polisi Mkoa wa Mwanza dhidi ya maelezo ya familia na mashuhuda. Wakati polisi wakisema amefariki dunia baada ya kuishiwa nguvu akiwa mikononi mwa askari mgambo, familia na mashuhuda wamedai kuwa, umauti wake umesababishwa na kipigo cha…

Read More

Wazazi wanavyoweza kudhibiti WhatsApp za watoto wao

Dar es Salaam. Katika kuhakikisha usalama wa watoto mitandaoni, Kampuni ya teknolojia ya Meta Platforms, inayomiliki programu ya WhatsApp, imetangaza kuanzisha mfumo mpya wa akaunti zinazodhibitiwa na wazazi kwa watoto walio chini ya umri wa miaka 13. Tangazo hilo lililotolewa Machi 11, 2026, linakuja wakati dunia ikishuhudia ongezeko la wasiwasi kuhusu athari za mitandao ya…

Read More