‘Glimmer of hope’ nchini Haiti huku kukiwa na mabadiliko ya mstari wa mbele wa magenge – Masuala ya Ulimwenguni

Takriban watu milioni 1.4 wengi wao katika mji mkuu wa Port-au-Prince wamelazimika kuhama makwao kutokana na ghasia za magenge, na kusababisha kile ambacho Umoja wa Mataifa umesema. Mtaalam Mteule wa hali ya haki za binadamu nchini HaitiWilliam O’Neill, ameita “kiwango kisicho na kifani cha uhamaji wa ndani.” Akizungumza na waandishi wa habari katika Makao Makuu…

Read More

Athari ya kiu ya ufaulu kwa wanafunzi  na Taifa

Shinyanga. Katika jamii nyingi leo, ufaulu umegeuka kuwa lengo kuu la elimu. Kila mzazi, mwalimu na mwanafunzi anatamani kuona alama za juu, vyeti vingi na matokeo yanayovutia.  Hata hivyo, katika harakati hizo, mambo muhimu kama maadili, utu na ujuzi wa vitendo yameachwa nyuma au kupewa nafasi finyu. Takwimu na hali halisi ya kijamii vinaonyesha kuwa…

Read More

Papa Leo kufanya ziara nchi nne za Afrika

Dar es Salaam. Kiongozi wa Kanisa Katoliki duniani, Pope Leo, anatarajiwa kuanza ziara rasmi katika mataifa manne ya Afrika kuanzia Aprili 13 hadi 23, 2026, ikiwa ni safari yake ya tatu ya kitume nje ya Italia tangu aanze uongozi wake. Kwa mujibu wa taarifa iliyotolewa na Holy See Press Office, Papa Leo atatembelea mataifa ya…

Read More

Ofisa ustawi wa jamii aliyegeukia uuzaji juisi

Dar es Salaam. Gharama za maisha zinapoongezeka, mara nyingi kila mtu huangalia namna ya kukabiliana nazo, ikiwamo kutafuta kipato cha ziada ili kupata uhuru wa kuishi. Hali hiyo huwafanya wengi kufikiria nje ya boksi na kuangalia kitu gani kinachoweza kufanyika kwa urahisi bila kuathiri shughuli zao za kila siku, na hapo ndipo kila mtu huja…

Read More

Donald Trump Akosolewa na Mshauri wake Kuhusu Vita na Iran

Global Publishers March 17, 2026 0 Comments Mmoja wa washauri wa karibu wa Rais wa Marekani, David Sacks, amemkosoa hadharani Donald Trump kuhusu vita vinavyoendelea dhidi ya Iran, akionya kuwa mzozo huo unaweza kuongezeka na kusababisha hatari ya matumizi ya silaha za nyuklia. Sacks, ambaye ni mshauri wa Trump anayeshughulikia masuala ya akili bandia (AI)…

Read More