Wawili wafa ajali ya jahazi Nungwi, watatu hawajulikani walipo

Kigoma/Tanga.  Wakati mwili wa aliyekuwa mtumishi wa afya, Amos Sika (33), ukipatikana, watu wawili wamefariki dunia na watatu hawajulikani walipo baada ya jahazi kuzama eneo la Nungwi kwenye Bahari ya Hindi. Sika alifariki dunia katika ajali ya boti ya Ziwa Tanganyika  iliyotokea Machi 13, 2026 ikiwa imebeba watu 19 wakiwamo watumishi wa afya, wahamasishaji wake…

Read More

Moto wateketeza vibanda 20 Masai Market, Iringa

Iringa. Moto mkubwa umeharibu vibanda takribani 20 vya wafanyabiashara katika soko la Masai Market lililopo mjini Iringa. Tukio hilo limetokea katika eneo la Garden, lililopo mkabala na ofisi za Halmashauri ya Manispaa ya Iringa, baada ya kuzuka usiku wa kuamkia leo Machi 16, 2026, na umesababisha hasara kubwa kwa wafanyabiashara wanaojishughulisha na biashara za utalii…

Read More

Serikali kuendelea kupeleka  wanafunzi nje kusomea AI

Dar es Salaam. Katika wakati ambao dunia inaingia kwa kasi katika mapinduzi ya teknolojia ya akili unde, Serikali imebainisha kuwa itachukua hatua za makusudi kuhakikisha Tanzania haibaki nyuma katika ushindani wa maarifa na teknolojia. Waziri wa Elimu, Sayansi na Teknolojia, Adolf Mkenda amesema Serikali imeanza kampeni ya kuandaa wataalamu wa teknolojia hizo kwa kuwapeleka wanafunzi…

Read More

DARAJA LA MKUYUNI LIMEANZA ‘KULIPA’

******* Waziri wa Ujenzi, Abdallah Ulega, amesema kukamilika kwa ujenzi wa Daraja la Mkuyuni mkoani Mwanza tayari kumeanza kuonyesha matunda katika siku zake za awali. Akizungumza na wananchi mara baada ya ukaguzi wa daraja hilo leo Machi 16, 2026, Ulega alisema wakazi wa Mwanza ni mashahidi wa hali hiyo hasa kufuatia matukio ya karibuni ya…

Read More