Gamondi: Dar Derby haikuwa ya kiwango cha juu

KOCHA  wa Taifa Stars, Miguel Gamondi, ambaye alikuwa miongoni mwa watazamaji wa dabi ya Ligi Kuu Bara kati ya Azam na Yanga, amesema mchezo huo haukuwa na kiwango cha kuvutia. Akizungumza baada ya mchezo huo uliopigwa Uwanja wa Benjamin Mkapa, Gamondi alisema soka kwake ni burudani na mashabiki wanatarajia kuona timu zikishambulia, kutengeneza nafasi na kufunga…

Read More

Fahamu Faida 7 za Ajabu za Kula Mlenda Mwilini

Global Publishers March 16, 2026 0 Comments Mlenda ni mboga inayopatikana kwa urahisi sokoni na majumbani, lakini watu wengi hawajui kuwa ni dawa asilia yenye virutubisho vingi sana. Licha ya ute wake, mlenda una faida kubwa kiafya na unashauriwa kuingizwa mara kwa mara kwenye mlo. Hizi hapa ni baadhi ya faida zake muhimu: 1. Huboresha…

Read More

WANANCHI WA MOHORO WAMSHUKURU RAIS SAMIA

-Mhe. Mchengerwa afuturisha, Mohoro, Chumbi,Mbwala na Shela -Maelfu ya wananchi washiriki futari, wamsifu Mchengerwa Na Yohana Kidaga- Mohoro Wananchi wa kata nne za Muhoro, Chumbi, Mbwala na Shela katika wilayani Rufiji wamemshukuru Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan kwa kuendelea kutoa fedha katika miradi mbalimbali ya maendeleo katika Wilaya…

Read More

MRADI WA FARU MKOMAZI NI WAKUJIVUNIA: MHE MASANJA

…………. Na Sixmund Begashe, Same Kamati ya kudumu ya Bunge ya Ardhi, Maliasili na Utalii imeeleza kuridhishwa na uwekezeji uliofanywa na Serikali katika mradi wa Faru ambao umesaidia kuchechemua ongezeko la watalii katika Hifadhi ya Taifa Mkomazi  iliyopo Wilayani same Mkoani Kilimanjaro.  Akizungumza kwa niaba ya Mwenyekiti wa Kamati hiyo, mara baada ya kutembelea na…

Read More

Singano aendeleza historia Mexico | Mwanaspoti

BEKI wa Tanzania, Julietha Singano ameandika rekodi ya kuwa miongoni mwa wachezaji waliocheza mechi nyingi katika kikosi cha FC Juarez Femenil kinachoshiriki ligi ya wanawake ya Mexico. Singano ambaye ni beki tegemeo wa timu hiyo, ameonyesha uimara mkubwa tangu alipojiunga na klabu hiyo, akifanikiwa kucheza jumla ya mechi 103 katika ligi. Katika kipindi hicho, beki…

Read More

Chama la Samatta hatarini kushuka daraja

KLABU ya Le Havre AC anayoichezea mshambuliaji wa Kitanzania, Mbwana Samatta iko kwenye nafasi mbaya na hatari ya kushuka daraja kama haitashtuka mwishoni. Le Havre iko nafasi ya 15 kwenye msimamo wa ligi, nafasi ambayo siyo salama kutokana na tofauti ndogo ya pointi na timu zinazopigania kubaki kwenye ligi hiyo. Timu hiyo imekusanya pointi 26…

Read More