MAHUBIRI: Njia za Mungu kujiondoa katika mipaka ya kiroho

Bwana Yesu asifiwe! Karibu kwenye tafakari ya Neno la Mungu siku ya leo Jumapili ambapo tumepewa somo linalosema ‘Njia za Mungu kujiondoa katika mipaka ya kiroho’. Katika maisha ya mwanadamu kuna mambo mengi yanayoonekana kwa macho, lakini pia kuna mambo mengi yasiyoonekana yanayotawala maisha ya watu. Moja ya mambo hayo ni mipaka katika ulimwengu wa…

Read More

Zimamoto Mbeya wasaka mwili wa mtoto aliyesombwa na mafuriko

Mbeya. Wakati matukio ya watu kusombwa na maji yakiendelea kujirudia mkoani Mbeya, Jeshi la Zimamoto na Uokoaji mkoani humo limesema linatarajia kuanza kampeni maalumu ya kuwafikia wananchi kutoa elimu ya tahadhari, hususani kipindi hiki cha mvua. Hatua hiyo inakuja baada ya matukio ya watu wawili, akiwamo mtumishi wa Hospitali ya Wilaya ya Mbarali, idara ya…

Read More

Utamu wa Azam vs Yanga upo hapa

WALE ‘Wazee wa Mikeka’, ni wazi wikiendi hii watakuwa na kazi katika kusuka mkeka wa mechi ya Dar es Salaam Derby inayozikutanisha Azam FC na vinara wa Ligi Kuu, Yanga. Hii ni mechi ngumu uwanjani kwa wachezaji wa timu zote, lakini hata kwa ‘Wazee wa Mikeka’ wana kibarua cha kusuka mikeka yao ili itiki, kwani…

Read More

Jeuri ya Barker Simba iko hapa!

KOCHA Mkuu wa Simba, Steve Barker siku zinavyozidi kwenda, anapata jeuri kubwa ya kuendelea kufanya vizuri na kikosi hicho akiamini kina nafasi kubwa ya kufikia malengo msimu huu. Jeuri ya Barker inakuja kwa kile alichoeleza kwamba, kikosi chake kinazidi kuimarika hali ambayo inampa wakati mzuri wa kuandaa timu ya kucheza na mpinzani yeyote huku akisema…

Read More

Yalipo mabao dabi ya Azam vs Yanga

AZAM na Yanga zinakutana tena uwanjani Jumapili hii Machi 15, 2026 katika msako wa pointi tatu ndani ya Ligi Kuu Bara baada ya kupita kipindi cha takribani siku 61 tangu zilipotoana jasho kwenye fainali ya Kombe la Mapinduzi 2026. Ndani ya siku 61 ambazo timu hizo tangu mara ya mwisho zikutane, kuna mambo mengi hapo…

Read More

Bato saba kali Azam vs Yanga kwa Mkapa

KUNA mechi kubwa itapigwa Jumapili hii Uwanja wa Benjamin Mkapa jijini Dar es Salaam ambapo wenyeji Azam FC watakapokutana na bingwa mtetezi wa Ligi Kuu Bara Yanga, nenda kaone ufundi mwingi kwenye dabi hiyo ya Dar es Salaam. Mchezo huo utakuwa wa kwanza msimu huu kwa timu hizo kukutana kwenye ligi lakini kama unavyofahamu hakuna…

Read More