Nafasi 14 Zatangazwa Maswa, Mwisho wa Maombi Aprili 13

Global Publishers April 6, 2026 0 Comments Halmashauri ya Wilaya ya Maswa imetangaza nafasi 14 za ajira kwa Watanzania wenye sifa, kufuatia kibali kutoka Ofisi ya Rais Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora. Kwa mujibu wa tangazo hilo lililotolewa Machi 31, 2026, nafasi hizo zinahusisha kada ya madereva pamoja na waandishi waendesha ofisi….

Read More