Urithi utakaokumbukwa kwa Karume | Mwananchi

Dar es Salaam. Leo ni miongo mitano na miaka minne tangu alipotwaliwa Rais wa kwanza wa Zanzibar, Sheikh Abeid Amani Karume, huku wadau wa siasa wakimkumbuka kwa misingi aliyoiasisi, ambayo baadhi wanadai imeachwa. Karume alifariki dunia Aprili 7, 1972, baada ya kupigwa risasi Kisiwandui, Unguja, visiwani Zanzibar, zilipokuwa ofisi za Makao Makuu ya Chama cha…

Read More

Serikali kuja na ahueni ya mafuta, wachumi watia neno

Dar es Salaam. Wakati makali ya bei ya mafuta yakiendelea kung’ata, Serikali imesema muda utakapofika itatoa taarifa ya hatua ilizochukua kuleta ahueni ya gharama ya nishati hiyo kwa wananchi. Serikali inakuja na ahadi hiyo katika kipindi ambacho mataifa mengine Afrika yameshachukua hatua, huku mengine yakiwa kwenye mchakato wa hatua, kama ilivyo kwa Tanzania. Akizungumzia hatua…

Read More

Tume ya Oktoba 29, yaongezewa tena siku 21

Dar es Salaam. Baada ya kufanya kazi kwa takriban miezi minne, hatimaye Tume ya Rais ya kuchunguza matukio ya kabla na baada ya uchaguzi wa Oktoba 29, 2025 imeomba na kuongezewa tena muda wa siku nyingine 21 kukamilisha kazi. Hiyo ni nyongeza ya pili ya muda kwa Tme hiyo, ambayo Februari 20, mwaka huu iliongezewa…

Read More

Napoli na Milan Uso kwa Uso Dimba la Maradona

USHINDANI kati ya Napoli na AC Milan umekuwa ni mojawapo ya mechi zinazosubiriwa kwa hamu kubwa katika ligi kuu ya Italia, Serie A.Leo usiku, timu hizi mbili zinatarajiwa kupambana kwenye uwanja wa Diego Armando Maradona. Historia yao ya moja kwa moja (Head to Head) inaonesha mchezooo wa kuvutia. Katika michezo 43 iliyopita, Napoli imefanikiwa kushinda…

Read More

Shamba la Bahati Lipo Kukupa Nafasi Ya Kuondoka Na Mali Kubwa

MERIDIANBET imekuja tena, na sasa kiuwazi kabisa wanakwambia kwamba mali ipo shambani. Lakini si shamba la kawaida, hapa hupandi mahindi wala mihogo. Hapa unalima bahati yako, unalima bashiri zako, na mavuno ni ushindi mkubwa. Ukiingia shambani hapa, kila hatua ni nafasi ya kushika pesa nyingi zaidi ya unavyoweza kufikiria. Usikose nafasi hii ya kipekee. Fortune…

Read More

Epuka Makosa Haya 9 Unaponunua Blueberries

Global Publishers April 7, 2026 0 Comments Matunda ya blueberries ni miongoni mwa vyakula vinavyopendwa sana wakati wa msimu wa joto, si tu kwa ladha yake tamu bali pia kwa faida zake kiafya kama kusaidia kumbukumbu, kupunguza shinikizo la damu na kuwa na kiwango kidogo cha kalori. Hata hivyo, wataalamu wa lishe wanaonya kuwa watu…

Read More

Peter Lwasa aahidi makubwa Pamba Jiji

KIUNGO mshambuliaji wa Pamba Jiji, Peter Lwasa ambaye msimu uliopita alimaliza na mabao manane akiwa Kagera Sugar, amesema hajawa na mwendelezo mzuri wa kufumania nyavu msimu huu kutokana na kutocheza mechi mfululizo. Huu ni msimu wa kwanza kwa kiungo huyo raia wa Uganda kuitumikia Pamba Jiji ya Mwanza akisajiliwa kutokea Kagera Sugar iliyoshuka daraja msimu…

Read More