Okello amuibua Pedro Yanga | Mwanaspoti

DAKIKA 626 alizocheza kiungo wa Yanga, Allan Okello katika Ligi Kuu Bara akihusika na mabao matatu kufuatia kufunga mawili na asisti moja, imemfanya kocha wa timu hiyo, Pedro Goncalves kusema kijana huyo kutoka Uganda anapambana kufanya kazi nzuri. Pedro alibainisha kwamba, kiungo mshambuliaji huyo anayetumia zaidi mguu wa kushoto, namba zake zimeendelea kuwapunguzia presha Pacome…

Read More

Pamba Jiji v Yanga ngoma iko hapa!

JUMATANO hii kuna mechi mbili za kuweka heshima katika Ligi Kuu Bara ambapo mapema saa 8:00 mchana, Singida Black Stars itaikaribisha KMC, kisha saa 10:15 jioni, Pamba Jiji dhidi ya Yanga. Mechi ya pili ambayo vinara wa Ligi Kuu Bara na bingwa mtetezi wa ligi hiyo, Yanga itakuwa uwanjani CCM Kirumba jijini Mwanza kucheza dhidi…

Read More