Okello amuibua Pedro Yanga | Mwanaspoti
DAKIKA 626 alizocheza kiungo wa Yanga, Allan Okello katika Ligi Kuu Bara akihusika na mabao matatu kufuatia kufunga mawili na asisti moja, imemfanya kocha wa timu hiyo, Pedro Goncalves kusema kijana huyo kutoka Uganda anapambana kufanya kazi nzuri. Pedro alibainisha kwamba, kiungo mshambuliaji huyo anayetumia zaidi mguu wa kushoto, namba zake zimeendelea kuwapunguzia presha Pacome…