Global Publishers
April 9, 2026
0 Comments
Mbunge wa Kisarawe, Seleman Jafo ameshauri serikali kuwachukua vijana waliohitimu vyuo na vyuo vikuu nnchini, kisha kuwapa ajira za mikataba, wenye Diploma walipwe shilingi laki 5 na wenye digrii walipwe shilingi laki 7.
Video kamili ipo Youtube, Global TV.
🔴 Tufuatilie kupitia YouTube ya Global TV, like, comment ili kuendelea kuhabarika kila siku kwa habari mbalimbali zenye ukweli na uhakika.