Shauri la Kikatiba la kufungwa Jamii Forums sasa mguu sawa
Dodoma. Jopo la majaji watatu wanaosikiliza shauri la kikatiba la kupinga kufungiwa leseni kwa mtandao wa Jamii Forums kwa siku 90, limetupa ombi la kuitwa ili kuulizwa maswali ya dodoso, Ofisa wa Mamlaka ya Mawasiliano Tanzania (TCRA). Ofisa huyo, Philip Filikunjombe, ndiye aliyewasilisha kiapo kinzani kwa niaba ya mlalamikiwa wa pili, TCRA na wa tatu,…