Ukimya wa Inter Milan Wazaa Matokeo Makubwa Serie A

Vinara wa SERIE A, Inter Milan wameendelea kuwa na wakati mzuri baada ya kuendelea kufanya vizuri kwenye mashindano hasa ya ndani. Bashiri mechi zote za Inter na Meridianbet leo. Kulikuwa na kitu tofauti kidogo kuhusu Inter msimu huu. Si kelele nyingi, si presha za nje  bali ukimya wa timu inayojitafuta upya. Kuanzia raundi za mwanzo…

Read More

Wanaotumia vibaya vyandarua vya msaada waonywa

Morogoro. Mkuu wa Mkoa wa Morogoro, Adamu Malima amekemea tabia ya baadhi ya watu kuchukua vyandarua wanavyogawiwa bure na Bohari ya Dawa (MSD) na kuvigeuza mabanda ya kufugia kuku, ama nyavu za kuvulia samaki. Kufuatia hilo, Malima amewataka    wakuu wa wilaya zote mkoani humo kufuatilia kwa karibu matumizi sahihi ya vyandarua hivyo. Malima ameyasema hayo…

Read More

Tanzania yatumia Sh23 bilioni kuagiza maziwa nje ya nchi

Morogoro. Wakati Tanzania ikijivunia kuwa na idadi kubwa ya mifugo, bado inalazimika kutumia zaidi ya Sh23 bilioni kila mwaka kuagiza wastani wa lita milioni 11.6 za maziwa kutoka nje ya nchi. Hali hiyo inayochangiwa na changamoto za ubora ambapo miundombinu na elimu kwa wadau wa sekta maziwa ni vikwazo vinavyosababisha maziwa kukosa ubora. Akizungumza katika…

Read More

Serikali yaonya watakaoficha mafuta kusubiri yapande bei

Dodoma. Serikali imesema haitawavumilia wafanyabiashara wa mafuta ya vyombo vya moto ikiwamo petroli, watakaotumia mgogoro unaoendelea Mashariki ya Kati, kuficha bidhaa hiyo wakisubiri ipande bei, ikisisitiza vitendo hivyo vinahatarisha upatikanaji wa nishati kwa wananchi. Sambamba na hilo, imeagiza kuundwa kwa kamati maalumu ya kufuatilia mwenendo wa uingizaji wa mafuta nchini, kuhakikisha yanafika kwa wakati kwa…

Read More

SERIKALI YATANGAZA MPANGO WA KUONGEZA NDEGE NANE KWA ATCL KUIMARISHA USAFIRI WA ANGA KUCHOCHEA UCHUMI WA TAIFA

SERIKALI imetangaza mpango wa kuongeza ndege nane kwa Shirika la Ndege Tanzania (ATCL), hatua itakayofikisha jumla ya ndege 24 ifikapo mwaka 2030, ikiwa ni sehemu ya juhudi za kuimarisha usafiri wa anga na kuchochea ukuaji wa uchumi wa Taifa. Taarifa hiyo imetolewa na Naibu Waziri wa Uchukuzi, David Kihenzile, kwa niaba ya Waziri wa Uchukuzi,…

Read More