Vifo 556 hadi 104: Jinsi Tanzania ilivyopunguza vifo vya uzazi kwa kinamama
Mwandishi Wetu, Dar es Salaam. TAKWIMU kutoka cha Kituo cha Udhibiti wa Magonjwa Afrika (CDC-Afrika) zinaonyesha kuwa, vifo vya uzazi Tanzania vimepungua kwa asilimia 80 kutoka 556 katika kila vizazi hai 100000 mwaka 2016 hadi 104 katika kila vizaizi hai 100000 mwaka 2022. Katika mgawanyo wa vifo 556 katika kila vizazi hai 100,000, kwa mwaka…