Kushinda Haki ya Kitamaduni, Kuwasilisha Sanaa na Fasihi kwa Watoto wa Vita – Masuala ya Ulimwenguni

Basi la Cultural linawasili kwa msisimko mkubwa katika kambi ya Al-Azraq kaskazini mwa Syria. Credit: Sonia Al Ali/IPS na Sonia Al Ali (al-azraq, Syria) Ijumaa, Machi 13, 2026 Inter Press Service AL-AZRAQ, SYRIA, Machi 13 (IPS) – Katika kambi ya Al-Azraq kaskazini mwa Syria, Abeer Al-Qaddour mwenye umri wa miaka 10 ameketi, akivinjari kitabu cha…

Read More

Bi.Fauzia Malik na Bi.Angelic wateuliwa Bodi ya Wakurugenzi Equity Bank Tanzania

Equity Bank Tanzania imewateua Bi. Malik na Bi. Tarimo kwenye Bodi ya wakurugenzi na inatarajia kufaidika na ujuzi wao mkubwa huku Benki ikiendelea kuimarisha jukumu lake katika kukuza ushirikishwaji wa kifedha, kusaidia biashara ndogo na za kati, na kuleta ukuaji endelevu wa kiuchumi Tanzania. Akizungumzia uteuzi huo, Dkt. Florens Martin Turuka, Mwenyekiti wa Equity Bank…

Read More

Mamlaka za ardhi zatajwa kuchochea migogoro Tanga

Tanga. Migogoro ya ardhi inayohusisha umiliki wa viwanja na urasimishaji wa makazi imekuwa changamoto kubwa kwa wakazi wa Jiji la Tanga, wakilalamikia taratibu za utoaji wa hati na usimamizi wa ardhi unaofanywa na halmashauri. Malalamiko hayo yameibuliwa katika Kliniki ya Sheria ya Ofisi ya Mwanasheria Mkuu wa Serikali iliyoweka kambi ya siku saba mkoani Tanga,…

Read More

Hili la chakula shuleni, wazazi na wadau tuungane kwa pamoja

……. Na: Dk. Reubeni Lumbagala, Tanga Chakula, mavazi na malazi ni mahitaji muhimu ya binadamu (basic needs). Ni mahitaji ambayo maisha ya binadamu hayawezi kwenda bila kuwa nayo, ndiyo maana watu wanapambana kupitia shughuli mbalimbali za kiuchumi kama kilimo, ufugaji, uvuvi, biashara, ujasiriamali kuhakikisha mahitaji haya yanapatikana katika ngazi ya familia ili kufurahia maisha. Katika…

Read More