WAHARIRI WATEMBELEA MRADI WA REA USAMBAZAJI WA UMEME VITONGOJI SITA WILAYANI LUDEWA
Na Said Mwishehe,Michuzi TV JUKWAA la Wahariri Tanzania (TEF) limetembelea mradi wa kusambaza umeme katika vitongoji sita vilivyopo ukanda wa Ziwa Nyasa wilayani Ludewa mkoani Njombe, mradi unaotekelezwa na Wakala wa Nishati Vijijini (REA) kwa kiasi cha fedha Sh. bilioni 3.1. Utekelezaji wa mradi huo ulianza kutekelezwa Julai 13, mwaka 2025 na unatarajiwa kukamilika Aprili…