Gereza la Chato kufundisha wafungwa, mahabusu kusoma, kuandika na kuhesabu (KKK)
Geita. Jeshi la Magereza wilayani Chato mkoani Geita limeanza utekelezaji wa mkakati wa kisayansi wa kuwajengea wafungwa na mahabusu umahiri wa kusoma, kuandika na kuhesabu (KKK). Lengo la mkakati huo ni kuwasaidia kuondokana na ujinga na kuwawezesha kujitegemea wanaporejea katika jamii baada ya kumaliza vifungo vyao. Programu hiyo hadi sasa ina zaidi ya miezi miwili…